Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
Kiongozi gani mkubwa wa nchi hii asiependa kuchezea ufukwe???? Hakuna cha Dom wala nini ....sound ndo zimebaki....hawahami jijini hawa....koz anasema in five yrs time hy inaweza kuwa kweli lakini atakaekuja nae atataka kupaonja magogoni so atarudisha majeshi Dsm...Kifupi makao makuu ya Serikali ni DSM.....DSM 4 Life