Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Rais kasema reli inayotumika kwa sasa imeppitwa na wakati kwa hiyo serikali inajiandaa kujenga reli mpya na ya kisasa.
Kukamilika kwa reli hiyo kutaifanya bandari ya dare es salaam kutumika vya kutosha alisema.
Ahadi hiyo itatekelezwa kwa kupitia mkopo wa benki ya maendeleo afrika na nchi tajiri zitatoa misaada mbali mbali.
Mradi hadi kukamilika utatumia dola bilion 5.1 za kimarekani.
Source: ippmedia.com
Kukamilika kwa reli hiyo kutaifanya bandari ya dare es salaam kutumika vya kutosha alisema.
Ahadi hiyo itatekelezwa kwa kupitia mkopo wa benki ya maendeleo afrika na nchi tajiri zitatoa misaada mbali mbali.
Mradi hadi kukamilika utatumia dola bilion 5.1 za kimarekani.
Source: ippmedia.com