Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Rushwa ni adui iwa haki Mheshimiwa Rais wa Nchi ya Tanzania. Tunahitaji mtu anayechukia rushwa na tukimwangalia kwenye paji la uso wake tuone dalili hiyo ya kukataa na kukemea rushwa. Rais mwenye dhamana ndani ya nchi anathubutu kusema kuwa rushwa ni ngumu kuepukika.? Tumefikia huko kweli?
Wanajf huu ni wakati wa mabadilliko ya kweli. Tuchague viongozi wanaofaa na waenye kuchukia rushwa iliyobatizwa jina la takrima.
Wanajf huu ni wakati wa mabadilliko ya kweli. Tuchague viongozi wanaofaa na waenye kuchukia rushwa iliyobatizwa jina la takrima.