Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,365 33,004 Apr 23, 2012 #4 Hana cha kupoteza, keshachota za kutosha, keshawekeza vya kutosha na hagombei tena 2015. Kazi kwenu Wadanganyika!
Hana cha kupoteza, keshachota za kutosha, keshawekeza vya kutosha na hagombei tena 2015. Kazi kwenu Wadanganyika!
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 Apr 23, 2012 #5 Nazidi kupata jazba, anakula bata lilongwe kwenye msiba, hii ni off-side.
Kalunguine JF-Expert Member Jul 27, 2010 2,543 134 Apr 23, 2012 #6 Mwisho wa utawala wake na chama chake umefika so mwache amalizie kabla ya nguvu ya umma haijamwazibu.
Mwisho wa utawala wake na chama chake umefika so mwache amalizie kabla ya nguvu ya umma haijamwazibu.
mmbangifingi JF-Expert Member Mar 9, 2011 2,839 559 Apr 23, 2012 #7 Kinyungu said: Hana cha kupoteza, keshachota za kutosha, keshawekeza vya kutosha na hagombei tena 2015. Kazi kwenu Wadanganyika! Click to expand... Tutatafuta alikowekeza,kama ni majengo,visima vya mafuta,mahotel tunafanya sabbotage kufidia
Kinyungu said: Hana cha kupoteza, keshachota za kutosha, keshawekeza vya kutosha na hagombei tena 2015. Kazi kwenu Wadanganyika! Click to expand... Tutatafuta alikowekeza,kama ni majengo,visima vya mafuta,mahotel tunafanya sabbotage kufidia