BongoTz
JF-Expert Member
- Nov 3, 2006
- 272
- 3
Good point, MkamaP!! Unajua watu hapa JF wanashindwa kabisa kutofautisha reality na fantasy. Haya mambo ya elimu ya bure and stuff ni kejeli tu za kifikra.Mnabadirisha tu gitaa na midundo. Kwani shule za kata ada yake ni kiasi gani?? Na pia naomba tu msaada ni nchi gani inayotoa elimu bure ya kujimu kifedha na fee??