Harafu kinachoniudhi ni CCM kudhani watanzania wote ni mabwege. Naomba niulize nchi hizo zinazotoa elimu ya bure ziliwezaje? Zamani hao wakina kikwete walisoma bure je, nchi ilikuwa tajiri au maskini?
Tupe takwimu kipindi hicho wanafunzi wa chuo kikuu nchi nzima walikuwa wangapi? na pia naomba mnitajie nchi yoyote duniani inayotoa elimu bure yani fee na fedha ya kujikimu mwanafunzi