Sekenke
Senior Member
- Mar 3, 2008
- 132
- 29
Ilishawahi kusikika: 'Kelele za mlango hazitunyimi usingizi'
---
Wiki moja iliyopita:
'Pamoja na watu kulalamikia safari zangu, ukweli ni kuwa nalazimika kusafiri kwa kuwa safari zangu hazina mbadala'... na kwamba atasafiri kwenda Copenhagen kuhudhuria mkutano siku chache zijazo.
Sasa:
... Ameamua kubadili uamuzi wa kwenda Copenhagen... badala yake amemtuma Makamu wa Rais, Dk Mohamed Shein... anayeondoka leo, kwa mujibu wa taarifa ya ikulu ya jana... Dk Shein ataambatana na Mama Mwanamwema Shein, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dk Batilda Buriani na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Mazingira wa Zanzibar Burhani Saadat.
...Kwa mujibu wa blog ya Ikulu Rais keshafikisha safari 20 nje ya nchi... anasafiri takriban mara mbili kila mwezi.
Chanzo: Safari za Nje Zamuelemea JK, Mwananchi Jumapili, Desemba 13, 2009
---
Wiki moja iliyopita:
'Pamoja na watu kulalamikia safari zangu, ukweli ni kuwa nalazimika kusafiri kwa kuwa safari zangu hazina mbadala'... na kwamba atasafiri kwenda Copenhagen kuhudhuria mkutano siku chache zijazo.
Sasa:
... Ameamua kubadili uamuzi wa kwenda Copenhagen... badala yake amemtuma Makamu wa Rais, Dk Mohamed Shein... anayeondoka leo, kwa mujibu wa taarifa ya ikulu ya jana... Dk Shein ataambatana na Mama Mwanamwema Shein, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dk Batilda Buriani na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Mazingira wa Zanzibar Burhani Saadat.
...Kwa mujibu wa blog ya Ikulu Rais keshafikisha safari 20 nje ya nchi... anasafiri takriban mara mbili kila mwezi.
Chanzo: Safari za Nje Zamuelemea JK, Mwananchi Jumapili, Desemba 13, 2009