JK Rais asiyejiamini..!!!



- Mkuu wa nchi anajiamini sana wewe safari za nje Mkapa alikuwa anamsubiri uwanjani wa ndege uliwahi kusikia wapi rais anasubiri waziri? hivi unakumbuka swali la kwanza aliloulizwa kwenye kampeni za urais, aliposema yeye kushinda sio suala la mjadala na la kushindwa halipo kabisa na akashinda anyways!

- Hajiamini ilikuwaje Kigoda chaguop la Mkapa akawekwa pembeni? Tumseme mengine lakini la kujiamini sidhani, unless kuna ushahidi zaidi ya uliotolewa hapa so far! Ndani ya CCM anakuwa makini sana maana anajua one mistake chama kinavunjika, lakini in the end siku zote anataimiza anayotaka, ingawa huenda sio kwa speed tunayoitaka hapa JF.

- Leo Mramba na Yona wamerudi lupango, anatakiwa ajiamini vipi zaidi jamani wakati so far anafanya kweli?

Mnyonge mnyongeni lakini haki tumpe!

Heshima mbele mkuu.

Suala la rais kumsubiri waziri wake uwanja wa ndege sijui unamaana gani hapa kwani sidhani kama maswala ya itifaki yanakubaliana na hili. Kama Mkapa alikuwa anamsubiri Kikwete uwanja wa ndege wa JKN sawa kwani hakuna kisichowezekana Bongo.

Kuhusu suala la ushindi, hiyo ni lugha ya kiushindani hata John McCain alikuwa anasema anashinda. HRC alikuwa anasema anashinda, Obama alisema anashinda matokeo yake mmoja wao ameshinda. Mtu mdhaifu yoyote anaweza sema hivyo mkuu.

Suala la akina Mramba na Yona ni ushahidi tosha kabisa kuwa mkuu hajiamini. Mahakama ni taasisi inayojitegemea na majukumu yake yako bayana. Kwasababu jamaa hajiamini (by definition) mkono wake uko kila mahali matokeo yake anaharibu kila kitu. Hatakiwi kutoa amri yoyote kuhusu wahalifu. angekuwa anajiamini angeacha sheria ifuate mkondo.

Ninadhani huyu ni rais mdhaifu katika historia ya Tanzania.
 

Wakuu,

Mkuu wa nchi ni mtu mwenye kujiamini sana ila tatizo lake ni wakati inapokuja Chama wanatak kitu ,huwa inamuwia vigumu.Nguvu ya vyombo kama NEC na CC ndivyo huwa vinaharibu utendaji wa rais siku zote sababu watu huwa wanatishia kama asivyofuata wanavyotaka basi watamng'oa.

Nahisi tunahitaji mfumo mpya wa jinsi vyama vyetu vinavyoongozwa.Ila Mpaka sasa nina imani kubwa sana na mkulu wa nchi

Vyombo vyote ulivyiotaja hapo juu CC, Mkutano Mkuu, NEC mwenyeliti ni yeye, na ili upate uongozi katika nchi hii vyombo hivyo ni lazima vikupitishe! Nguvu ya CC na NEC inatoka wapi kama si kwa Mwenyekigoda?
 
Hadi sasa hayati J.K. Nyerere ndiye Rais pekee hapa nchini aliyekuwa anajiamini. Waliofuata sioni kama walikuwa wakijiamini. Nyerere aliweza kuhutubia kwa muda mrefu bila kusoma. Hii ni kwa sababu alikuwa anajua anachotaka kusema na alikisema kwa ufasaha. Kukiwa na matatizo nchini alikuwa anachukua hatua za kukaa na wananchi wake na kuwaeleza kinagaubaga hali ilivyo na mkakati wa kuchukua ili kupambana na tatizo lililopo. Kikwete hana uwezo huo, akiona matatizo yanamzidi hupanda ndege na kwa kwenda ughaibuni badala ya kubaki nchini na kushirikiana na wananchi wake kupambana na matatizo. Yeye haoni kama migomo ya wanafunzi, walimu, wafanyakazi n.k. kuwa ni matatizo. Huyafanyia mzaha na kwenda kwa Bush kutafuta eti misaada ya vyandarua n.k. Swala la mafisadi Mramba, Yona, Jeetu Patel na wengine wote, kufikishwa mahakamani si utashi wa Kikwete bali ni kubanwa mbavu na wananchi na msukumo (pressure) kutoka pande zote ikiwa ni pamoja na woga wa kupoteza uchaguzi wa 2010. Yeye mwenyewe hana ujasiri wa kufanya hivyo. Huoni alivyowajaza marafiki zake - akina Lowassa & co. - akijua kuwa hawakuwa watu safi tangu zamani. Aliwaweka ili wamlinde na sasa wamemuangusha. Rais anayejiamini haogopi sura ya mtu kwani kura za wananchi ndiyo nguvu yake. Kikwete hajiamini kabisa.
 
Heshima mbele mkuu.

Suala la rais kumsubiri waziri wake uwanja wa ndege sijui unamaana gani hapa kwani sidhani kama maswala ya itifaki yanakubaliana na hili. Kama Mkapa alikuwa anamsubiri Kikwete uwanja wa ndege wa JKN sawa kwani hakuna kisichowezekana Bongo.

Kuhusu suala la ushindi, hiyo ni lugha ya kiushindani hata John McCain alikuwa anasema anashinda. HRC alikuwa anasema anashinda, Obama alisema anashinda matokeo yake mmoja wao ameshinda. Mtu mdhaifu yoyote anaweza sema hivyo mkuu.

Suala la akina Mramba na Yona ni ushahidi tosha kabisa kuwa mkuu hajiamini. Mahakama ni taasisi inayojitegemea na majukumu yake yako bayana. Kwasababu jamaa hajiamini (by definition) mkono wake uko kila mahali matokeo yake anaharibu kila kitu. Hatakiwi kutoa amri yoyote kuhusu wahalifu. angekuwa anajiamini angeacha sheria ifuate mkondo.

Ninadhani huyu ni rais mdhaifu katika historia ya Tanzania.

Labda tunaweza kukubaliana kutokubaliana, mimi ninaamini kwamba huyu Kikwete ni rais strong kuliko wote tuliowahi kuwa nao, ingawa ana mapungufu yake pia lakini la kutojiamini siamini kuwa ni mojawapo maana it takes a lot of confidence kumshinda urais mtu kama Salim, na besides kuwa rais kati ya wananchi millioni 40,

Kuhusu mkono wake kwua kila mahali labda utuwekee definition na responsibilities za rais, mkono wake unatakiwa kusihia na kuanzia wapi? Nimewahi kuongea na muungwana uso kwa uso mara nyingi sana, la kutojiamini sijawahi kuliona hata siku moja, alishindwa urais mwaka 1995 hakukata tamaa akarudia tena 2005 akashidna hizo sio traits za kiongozi asiyejiamini.

Lakini ninaweza kukubaliana na wewe kutokubaliana!
 
Pilato kweli una lako jambo. Analysis uliofanya eti ufikie mahali una conclude kuwa JK hajiamini ni too shallow infact sio analytical kabisa. Kama ungekuwa umetoa CV yako hapa ningeweza kukuelewa angaa kidogo u mtu wa namna gani. Kwa hayo uliosema nadhani tuseme tu JK ni mtanashati full stop. Hayo mengine ni yako....
 
Pilato kweli una lako jambo. Analysis uliofanya eti ufikie mahali una conclude kuwa JK hajiamini ni too shallow infact sio analytical kabisa. Kama ungekuwa umetoa CV yako hapa ningeweza kukuelewa angaa kidogo u mtu wa namna gani. Kwa hayo uliosema nadhani tuseme tu JK ni mtanashati full stop. Hayo mengine ni yako....

Kwa utanashati hapo umenena.JK anapenda kuvaa vizuri.Suala la kujiamini....ni wazi kabisa anajiamini kwa kuwa hajatumia majeshi ya polisi kukandamiza watu.

Ni mtu mwenye hisia za kidikteta tu ambaye anaweza kuwavuruga wananchi wake mfano ni wa Ben Mkapa na Julius Nyerere,sababukubwa ya kutumia vyombo hivyo ikiwa ni kutojiamini.

Mwalimu aliponea chupuchupu mapinduzi ya utawala wake mara 4 kwa sababu hiyo hakujiamini kabisa.Alikuwa na CDF wa Butiama,Gavana wa BOT wa Tarime,katibu Mkuu wake wa Butiama,majeshi kajaza Wakurya...na mengine mengi.Alikuwa akihangaika kwa kutojiamini hata akashindwa kuwasikiliza watu makini kama Edwin Mtei hapo baadaye na nchi ikazama kwenye umaskini mkubwa wa kukosa hata bidhaa ndogo za matumizi kama colgate na sabuni.

Mkapa kwa kutojiamini aliamuru majeshi yakauwe Wapemba kwa sababu alikuwa mwoga wa kivuli chake mwenyewe kwani hakuwa na sababu ya kufanya hivyo.alikimbia nchi akwaachia Polisi na operation yao iliwafanya raia wa nchi hii kuwa wakimbizi.

Kikwete hana woga wa aina hii.Hana udhaifu wa moyo na amejaa ujasiri ambao unajidhirisha kila uchao.Hakulalia ripoti ya tume ya Dr. Mwakyembe
kama Mkapa alivyoibana ripoti ya Warioba.

Kujiamini ni ndiko huko bandugu...
 
Labda tunaweza kukubaliana kutokubaliana, mimi ninaamini kwamba huyu Kikwete ni rais strong kuliko wote tuliowahi kuwa nao, ingawa ana mapungufu yake pia lakini la kutojiamini siamini kuwa ni mojawapo maana it takes a lot of confidence kumshinda urais mtu kama Salim, na besides kuwa rais kati ya wananchi millioni 40,

Kuhusu mkono wake kwua kila mahali labda utuwekee definition na responsibilities za rais, mkono wake unatakiwa kusihia na kuanzia wapi? Nimewahi kuongea na muungwana uso kwa uso mara nyingi sana, la kutojiamini sijawahi kuliona hata siku moja, alishindwa urais mwaka 1995 hakukata tamaa akarudia tena 2005 akashidna hizo sio traits za kiongozi asiyejiamini.

Lakini ninaweza kukubaliana na wewe kutokubaliana!

You're begging the question. I know scores of people at JF who talk to JK 24/7, but they claim nothing. Kuongea na Kikwete doesn't mean anything, it is just so 1947. If you don't know how to read someone's body language you will come out of meeting like a cheerleader.

Ukweli ni kwamba uamuzi wa Kikwete kuwafikisha hawa watu mahakamani ni kwasababu ya internal and external pressure. Even my six years old niece knows this. Just an FYI: JK is very uncomfortable with all this kamata kamata.
 
You're begging the question. I know scores of people at JF who talk to JK 24/7, but they claim nothing. Kuongea na Kikwete doesn't mean anything, it is just so 1947. If you don't know how to read someone's body language you will come out of meeting like a cheerleader.

- Ukweli ni kwamba unachanganya ishu mbili hapa kujiamini personally kwa JK na kujiamini as a president, hapa forum tunachojali ni kujiamini kwake na maamuzi ya taifa, so far sijaona anyhting cha kukuamnini maneno yako kwua hajiamini kwa sababu anaweka au haweki mikono somewhere akiongea na viongozi wengine yaani unsema hilo tu linatkiwa kumkosesha kura katika uchaguzi?

- Kusoma somebody's language ni nini hasa kwetu wananchi wa kawaida? Eti body language ni sababu ya kwua rais mzuri au mbaya? Sasa kama unaongea naye 24/7 utatusaidia vipi kama huwezi kutupa mifano katika hoja zako za jinsi body language yake ilivyo shallow mpaka inatosha kuwa dhana ya kumfanya awe rais mbovu?

- Habari inapendeza ukitoa mifano live kama unayo ila kama huna inaeleweka na haina maana tuliyonayo tusiiseme, yes ninarudia kuwa nimewahi kuongea naye mara nyingi one on one, na nimewahi kukaa naye nyumba moja Mvumi, Dodoma kwenye msiba kwa wiki nzima akiwa waziri hata siku moja sikuwahi na sijawahi hata kuhisi kuwa ana matatizo ya kutojiamini, viongozi wote wasiojiamini ungewaona mbele ya Mwalimu, au Mkapa wakijigonga gonga,

- that was never the case with Muungwana, alipokosa urais 1995 alimfuata Mwalimu Chamwino kutaka sababu, Mwalimu akamuahidi tena kwa ustaarabu sana kwamba asubiri bado hajakomaa lakini akamuamuru Ben kumuachia atakapomaliza, na haya maneno Kikwete ameyasema sana kwenye kampeni zake za urais mikoani, kwamba "...sasa niko tayari mwaka 1995 Mwalimu alisema sijakomaa nikakubali sasa tayari nimekomaa na niko tayari..." unasema huyu ni mtu asiyejiamini?

- Kama unakumbuka huyu Muungwana aliwatukana sana Msuya na Gama, tena mbele ya waandishi wa habari, alipogundua kuwa wanamfanyia uhuni kwenye kinyanga'anyiro cha urais 1995, wakati huu Msuya alikuwa bado ni bosi wake kama waziri mkuu na first vice president, na huku Gama akiwa bosi wake pia kama katibu mkuu wa CCM, Kikwete was only a newcomer katika ulingo wa siasa za taifa, kumlinganisha na Gama na Msuya, sasa unasema huyu Kikwete hana self confidence? You got to be kidding me bro!

2.
Ukweli ni kwamba uamuzi wa Kikwete kuwafikisha hawa watu mahakamani ni kwasababu ya internal and external pressure. Even my six years old niece knows this. Just an FYI: JK is very uncomfortable with all this kamata kamata.

- On this kuna source nyingi sana za habari hizi, lakini nijuavyo ni kwamba kwenye hotuba zake za mwishoni ninajua for fact alisema wazi kuwa wale wa EPA wasiorudisha hela watakiona, na ukisoma hotuba yake ya kwanza bungeni October, 2005 hakuna linalofanyika sasa ambalo hakuahidi mle, he is uncomfortable aliyewaweka rumande yona na Mramba ni nani?

- Hivi unajua kua Mramba kama mbunge ilitakiwa political immunity yake iwe waived kabla ya kufikishwa kwenye sheria, aliyei-wave ni nani mkuu? Ninaomba kurudia tena kwamba kama body language ya rais wewe inakuonyesha kua hajiamini, mimi huwa inanionyesha kuwa anajiamini tena sana kupita kiasi, sasa tatizo liko wapi zaidi tu ya mimi na wewe kuweka hoja za ku-support our ideas?

Thanxs for this debate nipo karibu siendi mbali!
 
- Ukweli ni kwamba unachanganya ishu mbili hapa kujiamini personally kwa JK na kujiamini as a president, hapa forum tunachojali ni kujiamini kwake na maamuzi ya taifa, so far sijaona anyhting cha kukuamnini maneno yako kwua hajiamini kwa sababu anaweka au haweki mikono somewhere akiongea na viongozi wengine yaani unsema hilo tu linatkiwa kumkosesha kura katika uchaguzi?

Kama suala ni rais as a person, his body language tells us he is weak. Na kama suala ni president as an institution, again ninasikitika kusema kuwa amefeli vibaya sana kama Rush Limbaugh alivyo flunk everything in college, even a modern ballroom dancing class.

Kusoma somebody's language ni nini hasa kwetu wananchi wa kawaida? Eti body language ni sababu ya kwua rais mzuri au mbaya? Sasa kama unaongea naye 24/7 utatusaidia vipi kama huwezi kutupa mifano katika hoja zako za jinsi body language yake ilivyo shallow mpaka inatosha kuwa dhana ya kumfanya awe rais mbovu?

Muanzilishi wa mada hii alikuwa anaongelea body language na ame conclude kuwa jamaa ni mdhaifu (you may wanna read post #1). Na huu udhaifu una translate katika utendaji wake wa kazi. Sisi sote tumeona mafaanikio ya ke: ZERO, NADA.

I know, the subject of body language is beyond your comprehension. Ninasikitika siwezi kukusaidia.

Habari inapendeza ukitoa mifano live kama unayo ila kama huna inaeleweka na haina maana tuliyonayo tusiiseme, yes ninarudia kuwa nimewahi kuongea naye mara nyingi one on one, na nimewahi kukaa naye nyumba moja Mvumi, Dodoma kwenye msiba kwa wiki nzima akiwa waziri hata siku moja sikuwahi na sijawahi hata kuhisi kuwa ana matatizo ya kutojiamini, viongozi wote wasiojiamini ungewaona mbele ya Mwalimu, au Mkapa wakijigonga gonga,

- that was never the case with Muungwana, alipokosa urais 1995 alimfuata Mwalimu Chamwino kutaka sababu, Mwalimu akamuahidi tena kwa ustaarabu sana kwamba asubiri bado hajakomaa lakini akamuamuru Ben kumuachia atakapomaliza, na haya maneno Kikwete ameyasema sana kwenye kampeni zake za urais mikoani, kwamba "...sasa niko tayari mwaka 1995 Mwalimu alisema sijakomaa nikakubali sasa tayari nimekomaa na niko tayari..." unasema huyu ni mtu asiyejiamini?

- Kama unakumbuka huyu Muungwana aliwatukana sana Msuya na Gama, tena mbele ya waandishi wa habari, alipogundua kuwa wanamfanyia uhuni kwenye kinyanga'anyiro cha urais 1995, wakati huu Msuya alikuwa bado ni bosi wake kama waziri mkuu na first vice president, na huku Gama akiwa bosi wake pia kama katibu mkuu wa CCM, Kikwete was only a newcomer katika ulingo wa siasa za taifa, kumlinganisha na Gama na Msuya, sasa unasema huyu Kikwete hana self confidence? You got to be kidding me bro!

You are talking about emperical or factual evidence to establish fatcs while you have failed to provide fatcs in the first place. This is the dumbest argument ever.

On this kuna source nyingi sana za habari hizi, lakini nijuavyo ni kwamba kwenye hotuba zake za mwishoni ninajua for fact alisema wazi kuwa wale wa EPA wasiorudisha hela watakiona, na ukisoma hotuba yake ya kwanza bungeni October, 2005 hakuna linalofanyika sasa ambalo hakuahidi mle, he is uncomfortable aliyewaweka rumande yona na Mramba ni nani?

Uchaguzi mkuu Tanzania ulitakiwa ufanyike October 30, 2005 lakini uliahirishwa hadi December 14, 2005. Hii hotuba yake ya kwanza unayoiongelea hapa ya October 2005 hotuba gani hii? Get your facts straight man before you jump on your computer and start misleading people.

Hivi unajua kua Mramba kama mbunge ilitakiwa political immunity yake iwe waived kabla ya kufikishwa kwenye sheria, aliyei-wave ni nani mkuu? Ninaomba kurudia tena kwamba kama body language ya rais wewe inakuonyesha kua hajiamini, mimi huwa inanionyesha kuwa anajiamini tena sana kupita kiasi, sasa tatizo liko wapi zaidi tu ya mimi na wewe kuweka hoja za ku-support our ideas?

President does not waive parliamentary privileges, but the parliament does. Acha kamba zako hapa.

Thanxs for this debate nipo karibu siendi mbali!

You don't have to stay here, get a life man.
 
1. Kama suala ni rais as a person, his body language tells us he is weak.

2. Na kama suala ni president as an institution, again ninasikitika kusema kuwa amefeli vibaya sana

3. Muanzilishi wa mada hii alikuwa anaongelea body language na ame conclude kuwa jamaa ni mdhaifu (you may wanna read post #1). Na huu udhaifu una translate katika utendaji wake wa kazi.

4. Sisi sote tumeona mafaanikio ya ke: ZERO, NADA.

5. I know, the subject of body language is beyond your comprehension. Ninasikitika siwezi kukusaidia.

6. You are talking about emperical or factual evidence to establish fatcs while you have failed to provide fatcs in the first place. This is the dumbest argument ever.

7. You don't have to stay here, get a life man.

- Kumbe wewe na watu flani mlishaamua kua mnayosema ndio ukweli na hakumhitaji debate sasa mlileta hapa kwa jili ya nini, maana hapa ni mahali pa malumbano, sikujua kuwa ni mahali pa tulishaamuwa kuwa ni kweli, unajua kuna mahali member mmoja amesema ukibishana na a dumbest person anayefikiri ni smartest man kwa sababu anajua kusoma body language ya Kikwete, basi wenye akili hawatajua nani ni nani, thanxs bro!

- Nisingekua na life nisingekuwepo hapa JF, maana it takes kuwa na life kuweza kua na mtandao wa kuingia JF, at any of my time unafikiri ni wananchi wote wa Tanzania wanaweza, au? Anyways nimekuchaia topic mkuu nilifikiri unatafuta debate kumbe ni lazima kukubali yako tu!
 
Kujiamini, tamaa, ujasiri, woga, .... ni sifa anazaliwa nazo mtu na anazitumia wakati fulani katika mazingira fulani. Tunatofautiana tu viwango na namna ya kuvitumia. Kila mtu anazo sifa hizi.
 
- Kumbe wewe na watu flani mlishaamua kua mnayosema ndio ukweli na hakumhitaji debate sasa mlileta hapa kwa jili ya nini, maana hapa ni mahali pa malumbano, sikujua kuwa ni mahali pa tulishaamuwa kuwa ni kweli, unajua kuna mahali member mmoja amesema ukibishana na a dumbest person anayefikiri ni smartest man kwa sababu anajua kusoma body language ya Kikwete, basi wenye akili hawatajua nani ni nani, thanxs bro!

- Nisingekua na life nisingekuwepo hapa JF, maana it takes kuwa na life kuweza kua na mtandao wa kuingia JF, at any of my time unafikiri ni wananchi wote wa Tanzania wanaweza, au? Anyways nimekuchaia topic mkuu nilifikiri unatafuta debate kumbe ni lazima kukubali yako tu!

That sounds suspiciously like something Adolf Hitler might say.
 
Kujiamini, tamaa, ujasiri, woga, .... ni sifa anazaliwa nazo mtu na anazitumia wakati fulani katika mazingira fulani. Tunatofautiana tu viwango na namna ya kuvitumia. Kila mtu anazo sifa hizi.

- Tupo ukurasa mmoja hapa mkuu, very intelligent analysis. Short na very clear!

- maana ukianza na Kikwete kutojiamini ukaishia kumchanganya na Hitler then something is wrong somewhere, bwa! ha! ha! ha!
 
Back
Top Bottom