Pilato
Member
- May 29, 2008
- 60
- 1
Mbali na kupiga picha na Mablazamen( Boyz 2 Men)wa marekani ,na ikulu kupambwa na magari ya kifahali BMW, Nimejaribu kufuatilia mara nyingi,Huyu Rais wetu mh JK.kikwete katika ziara zake nje ya nchi anapokuwa anakutana na Marais ama viongozi mbali mbali ,mara nyingi huwa anakuwa makini katika kuhakikisha,yuko nadhifu zaidi japo amekuwa tayari amependeza kwa suti nadhifu za bei mbaya, mfano kwa mara ya mwisho mh.JK akiwa Doha Uarabuni alikutana na Katibu Mkuu wa UN. (Hon Ban kin moon), na zaidi wakiwa katika kusalimiana mh.JK alikuwa akitumia mkono wake wa kushoto kutelezesha kila mara sehemu ya kifuani akiashiria anaweka sawa sawa suti yake, na alikuwa akirudia kila mara ,na Baada ya kuketi kwenye viti vyao alitupa macho kwenye Miguu yake na kuseti vizuri kiatu chake cha Gharana aina ya (Travolta), na wakati huo mkono wa kushoto ukiwa bado kifuani,na akiongelea kwa mapana
umaskini wa Bara la Africa,hii inaonyesha JK hajiamini japo anakuwa tayari amependeza....!!!!!!!$#******
umaskini wa Bara la Africa,hii inaonyesha JK hajiamini japo anakuwa tayari amependeza....!!!!!!!$#******