Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Haya ni Maneno yaliyotamkwa na Mwalimu JK Nyerere (RIP) hapo zamani, akimsuta Mkapa kwa sera zake mbovu. Alisema watauza hadi Ikulu.
Sasa yanayoendelea kutendeka hapa nchini ni kutimiza unabii wa Mwalimu. Wameuza mashirika ya umma, wamebinafsisha reli wameua, Ndege wamemalizia, Umeme taabani.
Wameanza kuuza wanyama na bandari zetu. Bado muda sio mrefu watageukia kuuza wake na watoto wetu na watamalizia kuuza ikulu.
Sasa yanayoendelea kutendeka hapa nchini ni kutimiza unabii wa Mwalimu. Wameuza mashirika ya umma, wamebinafsisha reli wameua, Ndege wamemalizia, Umeme taabani.
Wameanza kuuza wanyama na bandari zetu. Bado muda sio mrefu watageukia kuuza wake na watoto wetu na watamalizia kuuza ikulu.