Jk--- nitachafuka men

ff goma limerudi nini,huonekani

Nipo shosti, hajarudi. Nimeshikwa na mihangaiko ya wageni si unajuwa June, July, watoto wako Holidays na wageni wa nje wengi MashaAllah basi wananiweka bz kidoogo. Gozi linarudi wiki hii inayokuja InshaAllah.
 
Umefikiria kweli?

Kuna cha kuumiza kichwa hapo kufikiria? Sasa huyo Nyerere kashika sururu na jembe na kujitembeza kwa miguu, toka wapi sijui hadi wapi, ndio nini?

Katujazia mawazo duni tu ya kudumaza fikra za watu. Kaachia uRais hata mashamba aliyochukuwa ya wazungu kayauwa yooote. Khaa, mashamba ya ukoloni yalikuwa, wacha matrekta, mpaka viberenge vya kusombea mazao utavikuta mashambani. Mzee huyu, vyote vikafa wakaanza kuuza skrepu za viberenge, reli zake, materekta, magreda, ooh eti tujikomboe kwa kulima kiujamaa, akatengeneza kiwanda cha UFI pale Ubungo akauwa kiwanda cha matrekta cha LONRHO, eti mabepari. Khaa, kwani hao Lonrho walimwacha. Wacha wamsakame mpaka akawalipa, unacheza na Tiny Rowlands?
 
Kuna cha kuumiza kichwa hapo kufikiria? Sasa huyo Nyerere kashika sururu na jembe na kujitembeza kwa miguu, toka wapi sijui hadi wapi, ndio nini?

Katujazia mawazo duni tu ya kudumaza fikra za watu. Kaachia uRais hata mashamba aliyochukuwa ya wazungu kayauwa yooote. Khaa, mashamba ya ukoloni yalikuwa, wacha matrekta, mpaka viberenge vya kusombea mazao utavikuta mashambani. Mzee huyu, vyote vikafa wakaanza kuuza skrepu za viberenge, reli zake, materekta, magreda, ooh eti tujikomboe kwa kulima kiujamaa, akatengeneza kiwanda cha UFI pale Ubungo akauwa kiwanda cha matrekta cha LONRHO, eti mabepari. Khaa, kwani hao Lonrho walimwacha. Wacha wamsakame mpaka akawalipa, unacheza na Tiny Rowlands?

duh madrasa kazi kweli
 
Hizi comparison zingine mnazofanya hazina mantiki kabisa. Ukiangalia vizuri hizo picha za Nyerere utagundua kwamba hayakuwa matukio ya kufungua shughuli fulani bali ni mtu aliyejiandaa kwenda shamba kulima tofauti na Jakaya ambaye anafungua tu tukio na kuendelea na mambo mengine. Ushabiki kama huu unapoendelezwa na watu mnaojiita griti sinkaz, inashangaza sana kwa kweli.
Kati ya Nyerere na JK nani anaonekana kujiandaa hapo? Nyerere kavaa suti 'chunlai' tena nyeupe au kijivu lakini huyu wakwenu ameva fulana tena nyeusi yenye ufito mweupe na suruali nyeusi. Nani alijiandaa hapa? Shame on you!!!!!!!!!!!! Alafu nyuma ya jk ni nani huyu manake naona tumbo tu?
 
Alafu kumbuka kwamba kiongozi ni mfano kwa wananchi wote, sasa kama kila mtu atakuwa anapanda miti huku amepiga magoti kwenye kitambaa ni miti mingapi itapandwa kwa wakati mmoja?
 
Nipo shosti, hajarudi. Nimeshikwa na mihangaiko ya wageni si unajuwa June, July, watoto wako Holidays na wageni wa nje wengi MashaAllah basi wananiweka bz kidoogo. Gozi linarudi wiki hii inayokuja InshaAllah.
ushajisugua kisimi?
 
This recollection confirms that we have great thinkers in Tz. I can see similarity of the main characters in the photos. And that is all are JKs
 
Kweli wabongo mnajua kufuatilia yaani mpaka huku mmemfuata mkuu wa kaya!......mwacheni ale nchi kwani alitafuta hiyo nafasi kwa gharama kubwa na muda mrefu.....bahatui mbaya kidogo kwamba hakuna kiatu kinachomtosha na kwa mhula huu amebaki kumalizia siku tu kwani hana na wala hajawahi kuwa na mipango yoyote ya kuwainua watz zaidi ya ahadi zake za uongo za maisha bora kwa kila mtz na mamilioni ya ajira kwa vijana......................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom