Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna lolote msanii tu huyu. Mavazi alovaa ni muafaka kabisa kwa shughuli yenyewe ila moyo wake na mazoea ndo tofauti. Angevalia suti ningesema walimshtukiza ila hapa ni wazi kavalia kwa shughuli za shamba ila hazimudu. Cha kupigia goti hapo wala sikioni. Tena ndo koleo walifanya zito zaidi na ndo maana haonekani kufanya lolote hapoMzee Jakaya siyo wa kulaumu. Wasaidizi wake ndiyo wa kulaumu kwani ni matukio mangapi wameonesha kumuandalia vitu kwa kumuogopa, kujipendekeza (Mfano, kipindi anavunja baraza la mawaziri baada ya Mzee Lowasa kujihudhulu, aliwekewa kiti kifupi mpaka akalalamika), sasa na hii inaonekana waliojipendekeza hawakufahamu kuwa yeye ni mtu wa watu kiasi kwamba hata yeye akaona labda atawashusha ari endapo atawaambia toeni,
Hizi comparison zingine mnazofanya hazina mantiki kabisa. Ukiangalia vizuri hizo picha za Nyerere utagundua kwamba hayakuwa matukio ya kufungua shughuli fulani bali ni mtu aliyejiandaa kwenda shamba kulima tofauti na Jakaya ambaye anafungua tu tukio na kuendelea na mambo mengine. Ushabiki kama huu unapoendelezwa na watu mnaojiita griti sinkaz, inashangaza sana kwa kweli.
Maalim, Uwe unajitahidi kuelewa kabla ya kujigamba maana kinachojadiliwa hapa siyo tofatuti ya matukio bali ni ufanisi wa kazi inayofanywa. Ukiangalia picha za JKN unaona seriousness ya kazi anayoifanya, shoka au koleo amevishika kwa stahili yake, lakini ukimwangalia ndugu yako utaona ni usanii mtupu. Koleo halijashikwa kiume, kwenye hayo mazingira aliyomo mtu yeyote asingefanya hiyo kazi kwa koleo huku amepiga magoti tena kwenye msala!! Vituko na vioja kama hivi vyafaa kuingizwa kwenye vitabu vya rekodi.... lol
aisee JF bhana, ati sharo presidar; LOLhahaha sharo presidar
PumbaNafikiri dogo umekurupuka. Waulize waliomwona Nyerere wakati wa uhai wake (siyo kwenye picha tu) anapofungua jengo, ama akiweka jiwe la msingi, ama kwenye shughuli yoyote ya uzalishaji tabia yake ilikuwaje? Ndiyo sababu hata alipong'atuka alirudi kijijini na alilima ama kupalilia kwa jembe la mkono. Jiulize kama JK anaubavu wa kurudi kijijini na kulitumia jembe la mkono? Kwa kukusaidia mtoa mada ameweka picha chache saaana za Nyerere. Picha nyingine nenda pale Habari na Maelezo utapata albamu kadhaa (najua nikisema uenf kwenye Makumbusho ya Butiama utasema mbali)Hizi comparison zingine mnazofanya hazina mantiki kabisa. Ukiangalia vizuri hizo picha za Nyerere utagundua kwamba hayakuwa matukio ya kufungua shughuli fulani bali ni mtu aliyejiandaa kwenda shamba kulima tofauti na Jakaya ambaye anafungua tu tukio na kuendelea na mambo mengine. Ushabiki kama huu unapoendelezwa na watu mnaojiita griti sinkaz, inashangaza sana kwa kweli.
ff goma limerudi nini,huonekaniHizo picha za Nyerere zinatuonesha ni vipi alivyoweka misingi mibovu. Badala ya kuonesha kilimo bora kwa matrekta yeye ana piga jembe la mkono! Khaaaa, wapiiiii?
Umefikiria kweli?Hizo picha za Nyerere zinatuonesha ni vipi alivyoweka misingi mibovu. Badala ya kuonesha kilimo bora kwa matrekta yeye ana piga jembe la mkono! Khaaaa, wapiiiii?
kwanza kura nyingi alizopata zimetoka kwa mabeautiful coz yeye ni handsome. Mwacheni aendelee kulamba pamba na mapowder!View attachment 32610kuna viongozi na watawala