Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Kwa wale wanaofuatilia maswala ya kisiasa nchini, nadhani mtakubaliana nami kwamba Rais wetu Mpendwa Dr. JK hawezi kuliacha taifa letu tukufu la Tanzania lipatwe na majanga ya Tunisia na Misri. JK ni mzalendo, kwa hiyo nina uhakika kwamba ataachia ngazi kabla ya taifa kuangamia. Swala la Dowans atalijibu kwa muda wake, kwani sasa hivi damu bado moto na mabaya zaidi aynaweza kujitokeza akiingilia hilo swala. Hii ndio sababu kubwa ya JK kuwa kimya, ila pia tambueni kwamba " kimya Kingi kina Kishindo" siku JK anaamka, Mafisadi yote yatajikuta Segerea