Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Hasikilizi chochote, alikuwa ana-pose kwa ajili ya picha tu!
jamani ata akifanya wema kidogo wa kusikiliza ''vulnerablez' bado hamuoni kama ni kitu? mie nadhani hapo alikuwa anasikiliza hata kama ilikuwa salaaaaam...looh baba wa watu afanyeje muone kafanya??? mbona hamuamuuamini kiasi hicho ? lol
mix with yours
Hasikilizi chochote, alikuwa ana-pose kwa ajili ya picha tu!
ni zama za ushabiki tu.............
Ikiwekwa picha ya slaa anajisaidia haja kubwa mtasema anamwaga mbolea ili mimea istawi watanzania wafaidi...si mnampenda!!!!!
Sasa huyo bwana hata afanyaje no one value