RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Mwenye kigeugeu ni huyo Simba na bakwata yake, dini iko imara.
Imara halafu Mlishindwa haya
¤Kuisababisha serikali itoe pesa kwa mahakama ya kadhi
¤Kushindwa kujua mpo wangapi Leo toka Wakoloni wawahesabu
¤Kushindwa kujenga Mashule na Hospitali na kubaki kulalamika
¤Waislam wa Uamsho kushindwa kuvunja Muungano
MMEMSHINDWA KILA KITU INGAWA DINI YENU NA SIASA PETE NA KIDOLE NA MASHEIKH WANAHUBIRI HIVYO