Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Kitendo cha rais Kikwete kukubali issue ya katiba mpya inaonesha wazi huwa anafanya kazi kwa shinikizo au kishabiki.
Hii inatokana na ukweli kuwa hoja ya katiba mpya ilianzishwa na CHADEMA, na baada ya kuungwa mkono na jamiii Jk akaamua kuibaka.
Kwa hali hii ya serikali ya ccm kufanya maamuzi kwa kushinikizwa hamuoni itawagharimu 2015 watakapojaribu kuchakachua matokeo wananchi wanaweza kushinikiza na mambo yakawa tofauti na matarajio yao, hivyo ukomo wa CCM ukawa mwisho Jk? Mnasemaje wana JF.
Hii inatokana na ukweli kuwa hoja ya katiba mpya ilianzishwa na CHADEMA, na baada ya kuungwa mkono na jamiii Jk akaamua kuibaka.
Kwa hali hii ya serikali ya ccm kufanya maamuzi kwa kushinikizwa hamuoni itawagharimu 2015 watakapojaribu kuchakachua matokeo wananchi wanaweza kushinikiza na mambo yakawa tofauti na matarajio yao, hivyo ukomo wa CCM ukawa mwisho Jk? Mnasemaje wana JF.