JK ndiye rais wa mwisho kwa CCM

Alfu Lela Ulela

JF-Expert Member
Oct 29, 2010
1,255
77
Kitendo cha rais Kikwete kukubali issue ya katiba mpya inaonesha wazi huwa anafanya kazi kwa shinikizo au kishabiki.

Hii inatokana na ukweli kuwa hoja ya katiba mpya ilianzishwa na CHADEMA, na baada ya kuungwa mkono na jamiii Jk akaamua kuibaka.

Kwa hali hii ya serikali ya ccm kufanya maamuzi kwa kushinikizwa hamuoni itawagharimu 2015 watakapojaribu kuchakachua matokeo wananchi wanaweza kushinikiza na mambo yakawa tofauti na matarajio yao, hivyo ukomo wa CCM ukawa mwisho Jk? Mnasemaje wana JF.
 
Hiyo katiba itakuwa kiini macho tu.Itatungwa katiba ya kuifever ccm yenyewe so usije ukafikiri itajimaliza aaawapi!
 
Kitendo cha rais Kikwete kukubali issue ya katiba mpya inaonesha wazi huwa anafanya kazi kwa shinikizo au kishabiki.

Hii inatokana na ukweli kuwa hoja ya katiba mpya ilianzishwa na CHADEMA, na baada ya kuungwa mkono na jamiii Jk akaamua kuibaka.

Kwa hali hii ya serikali ya ccm kufanya maamuzi kwa kushinikizwa hamuoni itawagharimu 2015 watakapojaribu kuchakachua matokeo wananchi wanaweza kushinikiza na mambo yakawa tofauti na matarajio yao, hivyo ukomo wa CCM ukawa mwisho Jk? Mnasemaje wana JF.

Mkuu,

Ile kauli ya Mkulu ni changa la macho.Kuwaziba watu mdomo.
sasa hivi wanapanga back-up plan, jinsi ya kuichakachua hiyo hoja na hata hiyo katiba kama itaandikwa.
Inaonekana huifahamu vizuri CCM, Mkuu.
Hawako tayari kujinyonga!!! Na hasa ukitilia maanani ukondoo wetu.
Well 2015 haiko mbali... tutayaona tukibahatika kuwa hai.
 
Kitendo cha rais Kikwete kukubali issue ya katiba mpya inaonesha wazi huwa anafanya kazi kwa shinikizo au kishabiki.

Hii inatokana na ukweli kuwa hoja ya katiba mpya ilianzishwa na CHADEMA, na baada ya kuungwa mkono na jamiii Jk akaamua kuibaka.

Kwa hali hii ya serikali ya ccm kufanya maamuzi kwa kushinikizwa hamuoni itawagharimu 2015 watakapojaribu kuchakachua matokeo wananchi wanaweza kushinikiza na mambo yakawa tofauti na matarajio yao, hivyo ukomo wa CCM ukawa mwisho Jk? Mnasemaje wana JF.

Kwa nini unawashtua hawa jamaa??? Ungekaa kimya tu ili washtukie wamebwagwa tu kwenye uchaguzi ujao. Ccm ni mafia ukiwashtua hivi watatumia muda wote kujiandaa namna watakavyocheza rafu ili waendelee kuongoza nchi na wananchi tutaendelea kuogelea kwenye umaskini.
 
Tamko la Rais ni sheria.Tayari lishamtoka mdomoni,tusubili utekelezaji.naomba mali asili za tz ziwemo kwenye katiba.
 
GreatThinkers,

Tukibadili katiba, hiyo iko wazi si suala la mjadala tena.

CCM haitatawala, Indicator inaonesha uwezekano wa kuwepo ni mdogo bali kinaweza kufa.:ranger:
 
I thought Mkapa ndo alikuwa raisi wa mwisho wa CCM...maana kwangu kikwete ni kama malkia Elizabeth, JUST FOR DECORATIONS!
 
Kitendo cha rais Kikwete kukubali issue ya katiba mpya inaonesha wazi huwa anafanya kazi kwa shinikizo au kishabiki.

Hii inatokana na ukweli kuwa hoja ya katiba mpya ilianzishwa na CHADEMA, na baada ya kuungwa mkono na jamiii Jk akaamua kuibaka.

Kwa hali hii ya serikali ya ccm kufanya maamuzi kwa kushinikizwa hamuoni itawagharimu 2015 watakapojaribu kuchakachua matokeo wananchi wanaweza kushinikiza na mambo yakawa tofauti na matarajio yao, hivyo ukomo wa CCM ukawa mwisho Jk? Mnasemaje wana JF.


jamani watanzania tusiwe wajinga kiasi hiki,Jk hajakubali kuundwa kwa katiba mpya mchakato bado hajakubaliana nawe,watanzania ni lazima sasa mbadilike na kuwa watu watu waelewa na watafiti wa mambo.

Alichokubali JK ni sawa na alichokifanya Benjamim Mkapa na kilichofanywa na mwinyi kuunda tume itakayo weka viraka vya marekebisho,hii haitatupeleka popote kwani tume itaundwa na JK na mapendekezo ataamua mwenyewe nini kiwepo.

Tunaitaji katiba mpya itakayojumuisha watanzania wote na si vinginevyo ,kwa maana hiyo bado JK hajatimiza haja za watanzania wengi wanaoelewa.
 
Kitendo cha rais Kikwete kukubali issue ya katiba mpya inaonesha wazi huwa anafanya kazi kwa shinikizo au kishabiki.

Hii inatokana na ukweli kuwa hoja ya katiba mpya ilianzishwa na CHADEMA, na baada ya kuungwa mkono na jamiii Jk akaamua kuibaka.

Kwa hali hii ya serikali ya ccm kufanya maamuzi kwa kushinikizwa hamuoni itawagharimu 2015 watakapojaribu kuchakachua matokeo wananchi wanaweza kushinikiza na mambo yakawa tofauti na matarajio yao, hivyo ukomo wa CCM ukawa mwisho Jk? Mnasemaje wana JF.
we jamaa ulizaliwa lini? 2008? au? nani kakuambia hoja ya katiba ilianzishwa na chadema? Ndo maana huwa napataga tabu sana kuchangia hoja dhaifu kama hii kwa sababu hata mleta thread mwenyewe hajielewi licha ya kuelewa akiletacho. Better you ask before.
 
we jamaa ulizaliwa lini? 2008? au? nani kakuambia hoja ya katiba ilianzishwa na chadema? Ndo maana huwa napataga tabu sana kuchangia hoja dhaifu kama hii kwa sababu hata mleta thread mwenyewe hajielewi licha ya kuelewa akiletacho. Better you ask before.

Sure,
Hoja ya katiba haijaletwa na Chadema, ni wazo la siku nyingi sana la watu kama akina Kambona, na kupigiwa debe na Mtikila, Leo Lwekamwa n.k. Ilifikia hatua hadi Leo Lwekamwa wa TLP enzi hizo aliikanyagakanyaga katiba katika mkutano wa hadhara na kujikuta mikononi mwa dola.

Ni vema kama tukaijua historia hii.
 
Back
Top Bottom