Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Jk ndiye kiongozi wa kwanza ndani ya CCM aliyedai "Maisha Bora kwa kila Mtanzania" hayawezekani bila ya misaada ya kutoka kwa wafadhili na kuongeza ya kuwa elimu na afya bure ni ndoto za alinacha ikimaanisha ya kuwa CCM haina majibu ya adui zetu wale wakubwa watatu wa maradhi, ujinga na umasikini.
Sasa na Ngeleja ili kulinda kibarua chake hapo kwenye baraza la mawaziri ameanza kuimba wimbo huo huo wa "Maisha bora kwa kila Mtanzania" hayawezekani pale aliposema afya na elimu bure ni ndoto za alinacha. Mheshimiwa huyu amekuwa akiimba ngonjera hizi kwenye kampeni zake huko jimboni kwake.....................
Sasa na Ngeleja ili kulinda kibarua chake hapo kwenye baraza la mawaziri ameanza kuimba wimbo huo huo wa "Maisha bora kwa kila Mtanzania" hayawezekani pale aliposema afya na elimu bure ni ndoto za alinacha. Mheshimiwa huyu amekuwa akiimba ngonjera hizi kwenye kampeni zake huko jimboni kwake.....................