Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Kama JK anakwenda kupanda Mlima Kilimanjaro si lazime asindikizwe na mwenyeji wake, Bwana Gama?
Andaeni msiba.
Andaeni msiba.
Alipata kura ngapi?meenda kuwaona wapiga kura wake
Rais JK kaingia ndani ya mji wa Moshi mida hii akiwa ndani ya ulinzi mkali...kila kona ni polisi waliosheheni silaha nzito,msafara wake ni zaidi ya magari 30...atakuwa kwenye lango kuu la mlima kilimanjaro (marangu gate) jirani na kwa lyatonga wa kiraracha...
Huyu jamaa kapata lini mvi?
Anata kupanda mlima mrefu kuliko yoyote Afrika.Itakuwa vema akaweka rekodi ya kuwa raisi wa kwanza Kuupanda.
Sasa atembelee wapi Wakuu kama kila mahali mnamkandia? Awe Tz mnasema, akienda nje, nako mnamsema.