JK ndani ya mji wa Moshi....

Kama JK anakwenda kupanda Mlima Kilimanjaro si lazime asindikizwe na mwenyeji wake, Bwana Gama?
Andaeni msiba.
 
Kama si mhalifu anaogopa nini mpaka aombe kulindwa kiasi hicho?
 
jamaa anataka aweke fly over kwenda kwa kibaki bana, anafanya upembuzi yakinifu alafu baadae atakukuja magufuli kutoa statistics na mchanganuo wa budget................
jhahhahahhahahaa
 
Rais JK kaingia ndani ya mji wa Moshi mida hii akiwa ndani ya ulinzi mkali...kila kona ni polisi waliosheheni silaha nzito,msafara wake ni zaidi ya magari 30...atakuwa kwenye lango kuu la mlima kilimanjaro (marangu gate) jirani na kwa lyatonga wa kiraracha...

Maana ya jirani na kwa lyatonga ni ipi?
 
watoto wa kimarangu walivyo wazuri!? Nadhani nasi tunapata shemeji rais kwa mara ya 2
 
Huyu jamaa naye,ni mtani wangu lakini anavyoendesha nchi, kweli tuna Rais! Badala ya kushughulikia swala la madaktari, anaenda kutalii Moshi. Haya ngoja tujiandae kwa misiba ya watanzania wenzetu itakayotokea kwa kukosekana huduma za matibabu
 
Huyu jamaa naye,ni mtani wangu lakini anavyoendesha nchi, kweli tuna Rais! Badala ya kushughulikia swala la madaktari, anaenda kutalii Moshi. Haya ngoja tujiandae kwa misiba ya watanzania wenzetu itakayotokea kwa kukosekana huduma za matibabu
 
Huyu jamaa kapata lini mvi?

306px-Coat_of_arms_of_tanzania_svg1.png

Miaka 50 ya uhuru si mchezo muungwana
 
Sasa atembelee wapi Wakuu kama kila mahali mnamkandia? Awe Tz mnasema, akienda nje, nako mnamsema.

huyu ni janga kuliko hata yule babu anayemkaimu na mzee wa kulialia wao wanafanya angalau ziara zinazo make sense, lakini huyu, pooooooooh, ni kinyaa
 
Back
Top Bottom