Rais JK kaingia ndani ya mji wa Moshi mida hii akiwa ndani ya ulinzi mkali...kila kona ni polisi waliosheheni silaha nzito,msafara wake ni zaidi ya magari 30...atakuwa kwenye lango kuu la mlima kilimanjaro (marangu gate) jirani na kwa lyatonga wa kiraracha...