Fkn childish.
Lema hawezi hata kumsogelea JK hana cheo chochote Arusha.
Halafu selaa huyu mdafanga niajeniaje arifu? anataka kuleta zipi tena sistaa? mbona masela wa ngalimii wakiamua wanaweza kwenda mpaka magogoni?
halafu kamanda pole kwa kazi.......hatujapongezana ujue.........
na pia atazindua kituo cha afya Olturumet, Ngaramtoni. Nasikia kata ya Olturumet diwani wake ni TLP.Atazindua pia chuo cha Mandela ...
oi oi oi....niaje man....long time kichizi....nini mbaya arifu.....?