JK names 11 new High Court judges!!!

Thank God....yaani hii post niliitafuta sana.
Huyu bwana Jobo hajui asemalo... I happened to be around siku majaji walipoapishwa na kwa macho yangu walioapa kwa kutumia msahafu walikuwa ni majaji wawili 2 kati ya majaji 11

Sasa shutuma anazotoa huyu bwana kwa JK kama amewateua waislamu wenzake zinatia kinyaa. Tena yule jaji Ibrahim Sayida Mpawa alipewa msahafu kwa ajili ya kiapo akidhaniwa kama ni muislamu lakini kwa mshangao wa wengi akaomba bibilia. Sasa kama ulidhani na Rehema pia ni Muislamu..basi umela wa chuya..yule ni Mmisheni kwisha kazi!

Sasa ndugu yangu ikiwa majaji wawili tu kati ya majaji 11 walioteuliwa ni ishara ya udini basi tuna kazi kubwa kweli huko twandako.... Nyie ndio sampuli ya watu mnaotaka kila idara katika Tanzania yetu awepo John..Jacob..Peter na wenzake..na kina Ali,Omari waishie kwenye upishi na udereva tu.

Lakini dawa yenu ni moja tu ina chemka sasa hivi Baradhuli wewe.

Mtu mzima hatishiwi nyau! Hivi baradhuli ina maana gani? Kama ni tusi likurudie mwenyewe. Tumia nguvu ya hoja badala ya hoja ya nguvu. Kwa hiyo ulipata taabu sana kuona wanaoapa kwa msahafu ni wawili tu! Kama ungekuwa makini na kusoma thread hii vyema ungegundua kuwa hofu yangu ni jinsi hao ndugu zako wanavyotafutwa: Wanachopolewa kutoka kwenye uwakili wa kujitegemea au taasisi zingine. Kwa maoni yangu, na kwa kuwa wengi wao tunawajua, haangalii competence, just faith! Got it?
 
..hii sijui..ni maoni yako!

Ni maoni yangu womenofsubstanc. I have nothing against women, trust me. Infact I respect women of substance as your name suggests. In the legal profession, there are some women who have demonstrated maturity and competence and I mentioned some of them in this very thread. But if you ask me about the appointment made this time and last year, I will tell you that most of them were made just to fill up the number.
 
Thank God....yaani hii post niliitafuta sana.
Huyu bwana Jobo hajui asemalo... I happened to be around siku majaji walipoapishwa na kwa macho yangu walioapa kwa kutumia msahafu walikuwa ni majaji wawili 2 kati ya majaji 11

Sasa shutuma anazotoa huyu bwana kwa JK kama amewateua waislamu wenzake zinatia kinyaa. Tena yule jaji Ibrahim Sayida Mpawa alipewa msahafu kwa ajili ya kiapo akidhaniwa kama ni muislamu lakini kwa mshangao wa wengi akaomba bibilia. Sasa kama ulidhani na Rehema pia ni Muislamu..basi umela wa chuya..yule ni Mmisheni kwisha kazi!

Sasa ndugu yangu ikiwa majaji wawili tu kati ya majaji 11 walioteuliwa ni ishara ya udini basi tuna kazi kubwa kweli huko twandako.... Nyie ndio sampuli ya watu mnaotaka kila idara katika Tanzania yetu awepo John..Jacob..Peter na wenzake..na kina Ali,Omari waishie kwenye upishi na udereva tu.

Lakini dawa yenu ni moja tu ina chemka sasa hivi Baradhuli wewe.

Kingwele,
Usingeongeza hayo maneno mekundu, maoni yako yangefikisha ujumbe vyema zaidi, lakini kwa maneno hayo inaonekana huenda uliyo andika yamesukumwa na kilicho sababisha uandike maneno hayo,

ni mtazamo wangu tu!
 
Ni maoni yangu womenofsubstanc. I have nothing against women, trust me. Infact I respect women of substance as your name suggests. In the legal profession, there are some women who have demonstrated maturity and competence and I mentioned some of them in this very thread. But if you ask me about the appointment made this time and last year, I will tell you that most of them were made just to fill up the number.
Jobo..i respect your views and I can guess where you are coming from with such views... what got me worried is the generalisation while I for one know that there are lots of competent women around..ofcourse we cant question the prerogative of the prezd for appointiing those that he chose to appoint after the names were sent to him...We may all have a problem with not only the appointments in the legal field but elsewhere too....I can imagine that if u or I were to step into the shoes of muheshimiwa...bado we would have been challenged...all in all lets give those appointed a chance to prove their worth.
 
Mtu mzima hatishiwi nyau! Hivi baradhuli ina maana gani? Kama ni tusi likurudie mwenyewe. Tumia nguvu ya hoja badala ya hoja ya nguvu. Kwa hiyo ulipata taabu sana kuona wanaoapa kwa msahafu ni wawili tu! Kama ungekuwa makini na kusoma thread hii vyema ungegundua kuwa hofu yangu ni jinsi hao ndugu zako wanavyotafutwa: Wanachopolewa kutoka kwenye uwakili wa kujitegemea au taasisi zingine. Kwa maoni yangu, na kwa kuwa wengi wao tunawajua, haangalii competence, just faith! Got it?

Hopefully message sent... comments zako kuhusu uteuzi ule ulisema kama jamaa anataka kufanya Religious affiliation na ukasema being a Jujdge has nothing to do with that.

This is what you meant and the raction was appropriate..hii misamiati ya Baradhuli...Balahau...ni maneno yanayo wakilisha watu sampuli ya mawazo hayo uliyoyatoa kuhusu uteuzi wa JK.

Unless you prove otherwise..ukiendelea kutoa shutuma butu utabaki kuwa Baradhuli ambaye ni kaka mkubwa wa Balahau......
 
Wameshaapa na tayari wako kazini. Tuwapime kwa watakavyoifanya kazi hii NYETI (Na sio JINSIA yao au DINI zao). La muhimu ni kulikumbusha BUNGE letu litafute namna nzuri ya UDHIBITI wa wanaoteuliwa na RAIS ikiwa ni pamoja na KUTHIBITISHA teuzi hizi.
 
Mkimaliza kuwajadili wanawake, wakilimajaro waislamu na wakristo tufahamisheni ili tuhamie kwa walemavu, wafupi, warefu, albinos, weupe, weusi nk
 
Wameshaapa na tayari wako kazini. Tuwapime kwa watakavyoifanya kazi hii NYETI (Na sio JINSIA yao au DINI zao). La muhimu ni kulikumbusha BUNGE letu litafute namna nzuri ya UDHIBITI wa wanaoteuliwa na RAIS ikiwa ni pamoja na KUTHIBITISHA teuzi hizi.

I agree! Tukifanya kama wanavyofanya wenzetu wa Marekani, tutakuwa tumefanya la maana sana. JK anapewa majina, rafiki zake nao wanapeleka list yao, and as expected anachukua list ya rafiki zake na kuacha waliopendekezwa na chombo cha kitaalam
 
Jobo..i respect your views and I can guess where you are coming from with such views... what got me worried is the generalisation while I for one know that there are lots of competent women around..ofcourse we cant question the prerogative of the prezd for appointiing those that he chose to appoint after the names were sent to him...We may all have a problem with not only the appointments in the legal field but elsewhere too....I can imagine that if u or I were to step into the shoes of muheshimiwa...bado we would have been challenged...all in all lets give those appointed a chance to prove their worth.

You are not a prophet are you! Well, may be we wouldnt ignore advise and make appointments that every one questions! But you are right that administrative decisions are open to question have genuine they may be.
 
kwani kuna makosa gani Kikwete akifanya anachofanya sasa cha kuteuwa waislam kwenye mahakama za Tanzania ili kuweka balance? Ni wakati sasa wa kuwa na majaji na mahakimu wengi Tanzania ili kuweka balance ya kidini.

Hongera Kikwete kwa kulikumbuka hili.
 
mmh hivi lakini mnajua kati ya hao majaji 11 walioteuliwa kabila moja ni wangapi? ila mimi nimefurahia sana. amekubali wapenda kesi wapewe nafasi ya kuwa majaji. ila kama wanapenda kesi zitaisha kweli?

tufanye utafiti.
 
mmh hivi lakini mnajua kati ya hao majaji 11 walioteuliwa kabila moja ni wangapi? ila mimi nimefurahia sana. amekubali wapenda kesi wapewe nafasi ya kuwa majaji. ila kama wanapenda kesi zitaisha kweli?

tufanye utafiti.

wapenda kesi ni kina nani tena? watu hamuishiwi majungu na uzushi dunia hii. Mwacheni JK afanye kazi yake jamani. mweeee
 
Sina chuki binafsi na yeyote kati ya hao, but I am giving you one challenge: kwa nini maamuzi ya mahakama zetu za juu siku hizi yamekuwa yangonganagongana! My view ni kwa sababu teuzi zetu za majaji hazifanywi kwa misingi ya qualification toa ushahidi wa data
Ni aidha zawadi kwa mtu binafsi au kwa misingi ya gender balance au religious balance, take it or leave it! Ukitaka data za maamuzi ya ajabu, am read and willing to give you
mbona usasema utatoa ushahidi toa acha maneno mengi

Jobo we need hard evidences rather than keeping boring with MERE WORDS, utatoa lini kama kweli unao kama unavyosema.
 
Sina chuki binafsi na yeyote kati ya hao, but I am giving you one challenge: kwa nini maamuzi ya mahakama zetu za juu siku hizi yamekuwa yangonganagongana! My view ni kwa sababu teuzi zetu za majaji hazifanywi kwa misingi ya qualification toa ushahidi wa data
Ni aidha zawadi kwa mtu binafsi au kwa misingi ya gender balance au religious balance, take it or leave it! Ukitaka data za maamuzi ya ajabu, am read and willing to give you
mbona usasema utatoa ushahidi toa acha maneno mengi

Jobo we need hard evidences rather than keeping boring with MERE WORDS, utatoa lini kama kweli unao kama unavyosema.

I need to know your profession first, coz I may give you data in a form that may BORE you even more!
 
give datas my professional has nothing to do with my level of understanding and analysing issues,

mwaga data acha ubishi, otherwise huna lolote mbishi tu na chuki binafsi kwa wateuliwa

I doubt your level of analysing issues and your comprehension falls short of my standards, so to speak. I imagine you are one of those people who think you know everything and cannot leave objectivity prevail. So I need to know your profession to make me couch my explanations to fit your appetite!
 
I doubt your level of analysing issues and your comprehension falls short of my standards, so to speak. I imagine you are one of those people who think you know everything and cannot leave objectivity prevail. So I need to know your profession to make me couch my explanations to fit your appetite!


HUNA LOLOTE KAMA UNATAKA KUFANYA MIJADALA NA WATU WA PROFESSION YAKO KAANZISHE FORUM YAKO NA WANAPROFESSION WENZAKO. HUNA DATA ZOZOTE WEWE NI WALE WABABIAJI WAKIBWANWA OOH! PROFESSION, OOH! NIMEAMBIWA. SINA MUDA TENA WA KUJIBISHANA NA WEWE. WATEULE WANAPETA WENYE CHUKI NAO MTAJIJUA
 
HUNA LOLOTE KAMA UNATAKA KUFANYA MIJADALA NA WATU WA PROFESSION YAKO KAANZISHE FORUM YAKO NA WANAPROFESSION WENZAKO. HUNA DATA ZOZOTE WEWE NI WALE WABABIAJI WAKIBWANWA OOH! PROFESSION, OOH! NIMEAMBIWA. SINA MUDA TENA WA KUJIBISHANA NA WEWE. WATEULE WANAPETA WENYE CHUKI NAO MTAJIJUA

See! No more evidence is required! You need help my friend!
 
Naona mashambulizi yanakuja kwangu kama vile nimemwibia mtu simu mtaani! Zaibabu Mruke na Kassimu Nyangarika ndo wanasheria wakujitegemea peke yake walioteuliwa this time! Last time it was Mujuluzi and mjasiri, prior to that was Masatti, Jundu and that mama in Arusha. Hey, cant one make a conclusion? I am just pointing out that kinachofuatwa kwa sasa siyo uwezo, ni dini na jinsia. Mawakili wa kujitegemea zaidi ya saba ndani ya miaka 3 au 4 as compared to only one from the christian circle tells alot. Sina tatizo kama angewatoa katika utumishi wa umma, but from the private practice, leaves alot to be desired. Sina nia ya kuleta ubaguzi, ukitaka kuangalia uwezo wao hao walioteuliwa, linganisha na walioachwa kwa muda mrefu utajua ninachosema.

UMepitiwa my friend hata Msuya Upendo alikuwa wakili,
 
Back
Top Bottom