Suala siyo kuingia leo, ila ni kuangalia hoja
Hoja imetolewa, hujaijibu unaanza kuita watu washamba! Get serious man! We are talking about the fate of this country and the quest for justice.
Suala siyo kuingia leo, ila ni kuangalia hoja
thought wewe ndio mgeni kumbe mwenyeji ila jina ndio geni
Usalama wa Taifa wenyewe mbona wabovu tu...unaweza kusema hapa Bongo kuna usalama wa Taifa??mm naona hakuna kitu hamna kitu hapa usalama wamelala fofofo kabisaaaaaaa watu wanatesa kama kawa kwa kulinga na kudai nchi ipo kiganjani ndio utasema kuna usalama hapa??
Usalama wa Taifa wenyewe mbona wabovu tu...unaweza kusema hapa Bongo kuna usalama wa Taifa??mm naona hakuna kitu hamna kitu hapa usalama wamelala fofofo kabisaaaaaaa watu wanatesa kama kawa kwa kulinga na kudai nchi ipo kiganjani ndio utasema kuna usalama hapa??
Hebu Jobo tupe hizo stats zinazohusiana na idadi ya wakristo na waislamu kwenye judicial system ya Bongo maana inaonekana una idadi kamili. Kwa hiyo unataka kutwambia kutokana na Judicial system ya Tanzania kuwa incompetent, corrupt and it stinks basi asilimia kubwa wa majaji na wanasheria wakristo ni Corrupt na incompetent?? Na hii nafuata analogy yako ya judicial competence amongst Christians. Kwa sababu ukiniuliza mimi mahakama za bongo karibu zote ziko ovyo tu na sijaona maamuzi yeyote makubwa yatakayonifanya niamini vinginevyo. Karibu asilimia kubwa ya majaji na mahakimu ni watu ambao wanafanya maamuzi yao kisiasa na kujipendekeza kwa wanasiasa.Jibu unalo. Inawezekana nia yake siyo kupendelea ila ni kutaka kuleta urari! Ila langu ni moja tu, usilete urari katika masuala ya haki maana kila watu wana priorities zao. Katika sheria wakristu wapo wengi and the ratio inaweza kuwa mwislamu mmoja kwa wakristo kumi (10%) sasa ukitaka kila ukiteua majaji wawemo waislamu kadhaa in almost equal proportion ni tatizo. Same with gender, ratio ni even worse!
Hongera mheshimiwa JK kwa kuteua wanawake zaidi. Naona wanawake wana unafuu mkubwa kwenye ufisadi.
I hope JK hajateua makada wa CCM na badala yake kateua watu wenye uwezo.
Wanaume Tanzania tumechemsha mno na huenda wakati umefika wa kuwa na rais au waziri mkuu mwanamke.
Labda anaandaa majaji wapya kwa ajili ya kushughulikia mafisadi wa EPA.....
Unajua tatizo hapa mkuu Jobo JK kaweka pamba kwenye masikio yake wananchi tunaweza tukalalamika yeye aah kimyaaaaaaaaa sasa tunadanganyana humu eti wanawake si mafisadi kama wanaume duh hii sasa kali wafuatilieni hao wanawake walio kula vitengo muone kama si mafisadi......hii unajua sawa na mtu anaye uza gari USED utasikia alikuwa anatumia mama akimaanisha kuwa halijatumika sana lakini si alikuwa anaendesha??ndo hapo sasa unamwamini mtu kumbe duh ndo soo..
Huo ni utetezi ambao hauna maana! Just imagine mtu anasema Jaji kateuliwa kwa sababu siyo fisadi, hivi hiyo ndo sababu?
Hebu Jobo tupe hizo stats zinazohusiana na idadi ya wakristo na waislamu kwenye judicial system ya Bongo maana inaonekana una idadi kamili. Kwa hiyo unataka kutwambia kutokana na Judicial system ya Tanzania kuwa incompetent, corrupt and it stinks basi asilimia kubwa wa majaji na wanasheria wakristo ni Corrupt na incompetent?? Na hii nafuata analogy yako ya judicial competence amongst Christians. Kwa sababu ukiniuliza mimi mahakama za bongo karibu zote ziko ovyo tu na sijaona maamuzi yeyote makubwa yatakayonifanya niamini vinginevyo. Karibu asilimia kubwa ya majaji na mahakimu ni watu ambao wanafanya maamuzi yao kisiasa na kujipendekeza kwa wanasiasa.
Huyo hafai kama unavyofikiri anafaa, labda kwa maneno lakini si vitendo.
Eti Mama
Kwa nini unasema hafai?
Asha
Asha, tuliza ball Suzy ana yake na yanakuja though ufisadi ni ufisadi uwe mdogo au mkubwa. Huyo alikuwa napokea rushwa ili kutoa vyumba kwa wanafunzi pale UDSM; mtu wa hivyo unamweka kwenye kundi gani?
Huo ni utetezi ambao hauna maana! Just imagine mtu anasema Jaji kateuliwa kwa sababu siyo fisadi, hivi hiyo ndo sababu?
Udini, Ukabila, Jinsia haya lazima kimoja kitakuja kutumaliza. Tatizo liko kwa raia pamoja na viongozi wao. Rais au kiongozi wa serikali anapoteua kwa kubalance au kupendelea dini, ukabila, au jinsia na siyo compitency yao hafai hata kidogo. Na raia ambaye kila kukicha ni mtu wa kulalamika kuwa huyu kateuliwa kwa sababu ya dini, kabila au jinsia na wakati haiko hivyo ni muuaji mkubwa wa taifa hili. Ingawa hayaepukiki kutokana na utashi wa watu lakini hatuna budi kuendesha nchi kufuata taratibu zilizo ktk katiba yetu.
Majaji wameteuliwa hatuna uwezo wa kuwarudisha nyuma kuwa wa kawaida au kutengua uteuzi wao ila tunachosubiri ni kuona wanachapa kazi ili kupunguza idadi ya mahabusu ukizingatia wengine wapo gerezani kwa kusingiziwa tu. Compitancy yao itapimwa na matokeo ya kazi watayo deliver kwa taifa letu.