chama cha wafu, mwenyekiti dhaifu,waziri mkuu asiyejua hata madaraka yake ni yapi,katibu mkuu kilaza
dr slaa aliwahi kusema kuwa rais jk ni dikteta mkasema ni mchonganishi sasa mnalalama nini?nendeni kwenye gazeti la uhuru mkashitaki.twanga kotekote ili tupate uhuru m4c from late ccm.vuruganeni tu.peoplez power