African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
Rais wa zamani wa marekani John Kennedy(JK) aliamua kufanya uamuzi mgumu wa kuipeleka nchi yake kwenye anga za juu ikiwemo mwezini. Uamuzi ambao umeelezwa na baadhi ya wachambuzi kuwa kati ya mambo yaliyosabisha wamarekani kumchukia sana lakini sasa hivi wanamuona kama shujaa aliyefanya ndoto kuwa kweli.
Kennedy alidhubutu,lakini wengi hawakumuelewa kwa wakati huo na wakamchukia. Je tuna cha kujifunza kutokana na hilo?Hali kama hiyo ya kutokubali maamuzi na namna viongozi wanavyofanya kazi imejitokeza sana hapa nyumbani Tanzania, cha kujiuliza ni kwamba viongozi wanakosea au watu hawawaelewi?kama ambavyo wamerekani hawakumuelewa JK wao?huenda siku tutakuja kukaa chini na kushukuru Jk wetu kwa safari za mara kwa mara zikileta manufaa kwa taifa, tuvute subira!!.
AA
Kennedy alidhubutu,lakini wengi hawakumuelewa kwa wakati huo na wakamchukia. Je tuna cha kujifunza kutokana na hilo?Hali kama hiyo ya kutokubali maamuzi na namna viongozi wanavyofanya kazi imejitokeza sana hapa nyumbani Tanzania, cha kujiuliza ni kwamba viongozi wanakosea au watu hawawaelewi?kama ambavyo wamerekani hawakumuelewa JK wao?huenda siku tutakuja kukaa chini na kushukuru Jk wetu kwa safari za mara kwa mara zikileta manufaa kwa taifa, tuvute subira!!.
AA