JK na miaka 50 ya UDSM: Nipo hivi nilivyo sababu ya UDSM

Asante mleta thread.

Ningeumia sana kama UDSM wangemshangilia JK maana tangu aingie madarakani hajawahi kwa vitendo isipokuwa kauli kuonesha japo kiduchu kama anapenda intellectualna s au skillful Tanzanians. Niwakumbushe kejeli moja aliwafanyia wanasheria wa Tanzania kuwa mikataba yetu ni mibovu kwa sababu wanasheria wetu hawajui kuandika mikataba. Nilitegemea wanasheria waandamane kulaani kauli na kumwambia awatake radhi lakini walibaki kimya mpaka hii leo.

Kwa mtu ambaye anajidai na ujenzi wa shule za kata zisizokuwa na walimu na vitendea kazi ili apate sifa kule UN kuwa kafikia viwango vya milllenium goals. Huyu ni wa kuogopwa na alipaswa apokelewe na mayai viza maana anatuandalia bomu litakalolipuka baade tutakapokuwa na vilaza waliomaliza form 4 za kata wakinyanganyana ujira na machinga.

Ulkiacha swala la taaluma twende kwenye uwajibikaji.Serikali yake inalea rushwa, ufisadi, ubaguzi kimapato na kupandishwa vyeo, umbea, kuchakachua kura, kukandamiza wapinzani kwa kutumia nguvu ya polisi na mengine mengi.abu

Kiujumla wananfunzi wa UD hawana sababu ya kumshangilia ila mapokezi aliyopewa ndiyo anayostahili
 
Mara ya mwisho kama sikosei ilikuwa 2006 au 2007 wakati alipokuja kuzindua Chuo cha Injinia na Technolojia cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (CoET). Nakumbuka kindipi hicho JK alikuwa bado kwenye fomu. Yani wanafunzi walikuwa wamejipanga kuanzia geti maji hadi ndani ya kiwanja kidogo cha CoET ambapo uzinduzi wa Chuo kishiriki ulikuwa unafanyika. Kila alipopita umati wa wanafunzi walikuwa wanamshangilia na kuimba JK, JK, JK, JK. Nakumbuka sana siku ile. Leo hii kama amefika na kuzomewa inabidi atafakari sana, Je akistaafu atafanywaje??.

Kaka usiulize akistaafu.....kama akiwa madarakani na favor yote ya nchi juu yako unazomewa ukimaliza msimu wa utawala wako si ndio utatiwa kabisa vidole kwenye jicho
 
Kama kuna m2 angewezakupima presha na joto la mkandala wakati anaanza kuongea cjui ingekuwaje? Leo nimeshuhudia JK akijishangilia mwenyewe
 
Sura za wakuu zinatia huruma! Nje wanafunzi wanaimba balaa! Full kelele nje, wanazomea! Kikwete katajwa ndani wanafunzi nje, boooooo! Dah

vizuri sana...hii ndiyo sauti pekee ya wanyonge iliyobakia.
 
mi namsikia kama sauti yake haina confidence....nadhani ni sababu ya hiyo zomeazomea ya wanachuo!!!
 
Kaaaaaaaa, hawa watoto wetu jamani hawana adabu sana........mtu mzima mbele ya wageni haaibishwi lol

Wanamzomea wazi hadi inasikika kwenye ka TV kangu ka zamani ka ku-tune kama radio za mkulim
a....duh

nasikia itv walikata matangazo?
 
Mkuu NG'WANANGWA,

Huwezi amini, pindi niliposoma hapo kwenye RED mwenzako nilidhani kama vile nipotea THREAD na kujikuta kuleee kwenye 1 million dollar email ya Barricks.


sasa nimerudi rasmi baby. nilipita kwa sababu sikuelewa somo.

tupe habar ila angalia wasikudabue.
 
Kuna sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya chuo kikuu cha dsm ambapo itv wapo live,wageni wa adabu ni jk na mseveni,tumeona walau kwa muda wanafunzi ambao wapo nje wakiimba nyimbo za kumsifu kambarage na kulaani mafisadi.wakiwa na mabango!mliopo eneo la tukio mtujuze kinachojiri.
Nawasilisha.
Tumempa live...tumechoka na utawala wake.....Yaani miaka 50 ya chuo lakina bado tu kuna vitanda wanalala watu wawili...... Huu na upuuzi, Hatuwezi kumvumilia.... Anaharibu Sifa ya Chuo.
 
inalakuwa natamani sana nije kumzomea kiongozi ambaye simpendi.....LEO NIMETIMIZA NDOTO YANGU.:smash:
 
kuwanyima wanafunzi wasiingie ndani haijasaidia! Watu boooo
 
Kama kuna m2 angewezakupima presha na joto la mkandala wakati anaanza kuongea cjui ingekuwaje? Leo nimeshuhudia JK akijishangilia mwenyewe

ha ha!kaona hashangiliwi akaona afadhali ajipigie makofi!
 
You get what you choose........ndivyo maisha yalivyo

Hivi mara ya mwisho kwa JK kwenda UDSM ilikuwa mwaka gani vile? Alishakuwa president?

awamu ya kwanza ya utawala wake nadhan 06'maana frm 2007-10,cjawai kui0na pua yake
 
:canada:BOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO.....!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mara ya mwisho kama sikosei ilikuwa 2006 au 2007 wakati alipokuja kuzindua Chuo cha Injinia na Technolojia cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (CoET). Nakumbuka kindipi hicho JK alikuwa bado kwenye fomu. Yani wanafunzi walikuwa wamejipanga kuanzia geti maji hadi ndani ya kiwanja kidogo cha CoET ambapo uzinduzi wa Chuo kishiriki ulikuwa unafanyika. Kila alipopita umati wa wanafunzi walikuwa wanamshangilia na kuimba JK, JK, JK, JK. Nakumbuka sana siku ile. Leo hii kama amefika na kuzomewa inabidi atafakari sana, Je akistaafu atafanywaje??.

nadhan 2006,kuanzia 07 had last yr hajawai kukanyaga udsm
 
Back
Top Bottom