You get what you choose........ndivyo maisha yalivyo
Hivi mara ya mwisho kwa JK kwenda UDSM ilikuwa mwaka gani vile? Alishakuwa president?
Mmmh!! Kwa hiyo matatizo yote haya yanatokana na udsm?
sidhani kama amewahi kuja kwenye tukio kubwa kama hili.
Kama amekua akija basi ni kimya kimya au wanachuo wakiwa hawapo
Sijui nani kamponza nani,...
labda ni Kikwete aliye mponza Lowasa au vice versa.
Lakini binafsi, baada ya kuchomwa jua mda mrefu nikisubiri
kumuona Museveni pamoja na wenzangu,sikutegemea kusikia niliyo
yasikia,ingawa nilikua na hamu kweli kujua wana UDSM wata react vipi
baada ya viongozi hawa kufika.
Ilikua hivi:-
Nikiwa mbali kidogo nilisikia kilele za kushangilia,...
na mara nikasogea karibu,lakini niliye kuta akishangiliwa huku
anaingia ukumbini ni Prof.Shivji.
Baada ya mda mrefu sana aliingia JK na team yake ya viongozi
(akiwemo Lowasa),...ndipo nilipo ishiwa nguvu ghafla ingawa sikuwa mlengwa wa
kelele hizo.
Zilisikika kelele za "mafisadi,mafisadi",...."miaka 50 tunalala nje",....
"tunataka mabadiliko",....mara JK alisimama kwa sekunde kadhaa kusoma moja
ya mabango yaliyo kuwa yame kamatwa na wanachuo.
(sijui liliandikwa vipi,bango lilikua upande sawa na wangu ila mbali kidogo).
Yeah,nilihisi aibu na kuhisi sina nguvu.
Niliingia kwenye viatu vya JK,ila sidhani kama ame feel nilivo feel.
Ni aibu sana raisi kupokelewa nchini kwako kwa dhihaka kiasi hiki.
Sijajua urafiki wake na M7 ni kwasababu wamesoma pamoja au kwa vile waswahili husema ndege wanaofanana huruka pamoja!
Nipo chuoni sasa hivi......NIMESHUHUDIA KWA MACHO YANGU RAISI AKIZOMEWA LIVE..... YAANI AMEZOMEWA NA WANAFUNZI WA CHUONI MPAKA AMEONA AIBU.:embarassed2:
sasa nimerudi rasmi baby. nilipita kwa sababu sikuelewa somo.
tupe habar ila angalia wasikudabue.