Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
inaelekea imani yako na uwezo wa kulikabili jambo unahitilafu. kama nia yako ni kutengeneza kwanini usipeleke jambo moja kwa moja kwa wanaohusika? kuliweka kwenye forum jambo kama hili sioni kama ni ustaarabu wa karne hii hata kama shutuma ni za kweli. wewe mwenyewe usiseme uchafu wako useme wa wengine? wanaume wote wahuni tu. unawajua vzr hao uliowa elekezea malalamiko?
ha ha aha! sasa mapovu ya nini? una uhakika kuwa aliyeleta hii thread ndiye aliyeandika hiyo barua? Kwani kuna tatizo gani watu wakijua maovu machache kati ya mengi yanayotendeka makasani?