Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wakuu muu hali gaani? Ningependa kujuwa jk alikuwa wapi wakati huu wa kuadhimisha death day ya mwasisi wa taifa letu na kipenzi cha wengi kwani ktk fuatilia yangu ya vyombo mbalimbali vya habari sijabahatika kumsikia wala kumwona akisungumzia kuhusu baba wa taifa, je ni kwamba yupo nje? Au najificha asijekujikosoa ktk maovu yake
nawakilisha
nawakilisha