Ili kuwahakikishia juu ya hili wiki mbili zilizopita baraza la madiwani la bukombe lilikwenda katika eneo la tukio na mwandishi wa habari wa mwanaharisi kuhoji uhalali wa kampuni hiyo kuwepo katika eneo hilo. Wahusika walisema mmiliki anaishi NETHERLAND na mmoja ni mtanzania ambae waligoma kumtaja. Kampuni inayojihusisha na kazi hiyo inaitwa TANCAN. Mbunge aliyepita amekuwa akionekana mara kwa mara katika eneo hilo, pia Lidhiwani Kikwete amekuwa akifika Bukombe mara kwa mara. lakini hufikia Kahama kwenye hotel ya RIVERMARK na kuigia Bukombe kwa siri. Pia hakuna kiongozi aliyehoji juu ya hili isipokuwa madiwani tu, hii ni wazi watu hawa wanahusika. lakini kwa vile liko mezani kwa mwanahalisi ukweli ujulikana tu.
Hakika inashangaza kuona kwamba muda wote huu tuna-entertain pumba za ng'ombe huyu. Kilichomo humu ni uvumi na speculation za kipuuzi ambazo hazipaswi kupewa nafasi katika dunia ya leo. Eti mtu anatoa tuhuma then anazama msituni kutafuta namna ya kuhalalisha ukweli wa tuhuma na hata hivyo anashindwa. Hakuna ushahidi wowote zaidi ya ule wa kwamba TANCAN ndiyo wamiliki wa hicho kinachoitwa mgodi na shareholders wa kampuni hiyo, nje na ndani wanafahamika. Sasa leo mtu anakurupuka na michuki yake na kuanza kuingiza jina la Rais bila hata kufanya utafiti, na kuhisi kwamba eti Ridhiwan anakwenda usiku. Hivi ana sababu ya kwenda usiku kweli wakati angeweza kutuma tu watu wakamletea mzigo huo tena akiwa sebuleni kwake Dar?
Watu wajue kwamba humu JF kuna watu werevu kuliko huyu ng'ombe na kwa hiyo anapokuja na uvumi na porojo zake watu wataona kwamba huu ni mzaha ambao haustahili hata kupewa muda wa kusikilizwa. Ifike wakati tuwe responsible kwa matamshi yetu na siyo wewe kuonekana champion kwa kujaza ma-thread ya uongo na kutafuta sifa. Kila aliyechangia humu ameona kwamba thread hii ni kamba kama lilivyo jina lake na kwa kweli huyu ng'ombe ana bahati kwamba thread hii bado inaendelea kuishi!