Naona kila mmoja yuko zaidi kwa namna yake. JK kwa kuasisi udini, kuruhusu ufisadi na kufisadi, kutalii duniani (vasco da gama), mtalaam wa ufitni (dr slaa na dr salim) na uchakachuaji (uchaguzi 2010), hajui kwa nini tu maskini, mwenye degree fake nyingi.<br />
Dr slaa ni zaidi kwa uzalendo, kupambana na ufisadi, si mfitini, mkweli na mchapakazi, anayeumia wananchi wakiwa maskini
Pia mkwere yupo juu kwa Totos
Dr. Slaa (PhD) = 1,000,000 x Dr. Kikwete (heshima)
Na Bachelors yake iko wapi? na Masters jee?
PhD ya kanoni? duhh, nayo unaihesabu wakati hiyo kanoni inamkataza kuacha, naye kaacha? wakati hiyo kanoni inamkataza kuzini na mke wa mtu, naye unajuwa anafanya nini? huoni haya wewe?