Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Wiki mbili zinakutosha JK. Bwaga manyanga. Achana na urais
Acha unafiki. Kazi ulishashindwa. Watanzania hawakutaki.
Hao wapambe wachache wanaopewa shuka, fulana, kofia na usafiri wa bure wanawakilisha sehemu ndogo sana ya Watanzania.
Watanzania wengi wamekuchoka JK. Ulichoahidi mwaka 2005 hakuna hata kimoja umefanya.
Seriali yako imejaa kashfa za ufisadi, LAKINI kwa makusudi kabisa, pengine kwa kuwaona Watanzania mazumbukuku, hujawahi kuzungumzia namna utapambana na ufisadi ukichaguliwa tena.
JK unataka Urais wa nini?
JK wewe siyo Mungu(of course hata mimi siyo Mungu). Lakini, I warn you. Watanzania hawakutaki. Kama utang'ang'ania kuiongoza jamii ya watu ambao hawakutaki, HAKIKA HAUTADUMU. UTAAIBIKA!!
Acha unafiki. Kazi ulishashindwa. Watanzania hawakutaki.
Hao wapambe wachache wanaopewa shuka, fulana, kofia na usafiri wa bure wanawakilisha sehemu ndogo sana ya Watanzania.
Watanzania wengi wamekuchoka JK. Ulichoahidi mwaka 2005 hakuna hata kimoja umefanya.
Seriali yako imejaa kashfa za ufisadi, LAKINI kwa makusudi kabisa, pengine kwa kuwaona Watanzania mazumbukuku, hujawahi kuzungumzia namna utapambana na ufisadi ukichaguliwa tena.
JK unataka Urais wa nini?
JK wewe siyo Mungu(of course hata mimi siyo Mungu). Lakini, I warn you. Watanzania hawakutaki. Kama utang'ang'ania kuiongoza jamii ya watu ambao hawakutaki, HAKIKA HAUTADUMU. UTAAIBIKA!!