JK, Mukama watua Dodoma, utata mtupu mawaziri 8

Hilo la m.k.w.ere kutofika 2015 ndio sala yangu kila nikiamka na kabla ya kulala!

Hoja ya Zitto Kabwe itabadilishwa kutoka Pinda ielekezwe kutokuwa na imani na President Kikwete. Hakuna kuuzunguka mbuyu kwa sasa, ni moja kwa moja to face this rude guy.
 
JK akiteua mawaziri anawajali waliowahi kumkuwadia ndo tatizo lake kubwa sasa anagharamia mayebo yebo yake aliyoyateua
 
Munaharibu kwa kuacha mada. Tutarajie nini? Je, atabadili baraza ama atalivunja? Kuvunja ni hatari kwake maana PM atakayemchagua atahitaji kura za wabunge, na upepo si mzuri ndani ya Bunge, akikosa ni hatari.
Baraza la mawaziri wala hatabadilisha, subirini mtaona
 
Mnapoteza muda,nyie kama wanaume kweli mnatakiwa kuzitafuta asilimia 50+1 bungeni ili muingushe serikali yake,la hamuwezi pigeni kimya,kuanzisha thread kila kukicha is not gonna help either...!
 
Asituumize vichwa huyo, tuna mtaji wetu wa signature 75, kazi itakuwa ni kubadili heading tu - badala ya kutokuwa na imani na PM inakuwa KUTOKUWA NA IMANI NA RAISI.Simple!

mkuu kifungu hicho kinamhuru waziri mkuu tu au inaweza pia kufanya kazi kwa rais?
 
Hiyo ndiyo hali halisi na maisha halisi kwa Watanzania,kusimamia ulichokiamini ni vigumu kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.Kama kweli wameguswa ndani ya mioyo yao na kuongozwa na dhamira ya kuwawakilisha wananchi kamwe hawatabadirika lakini kama lengo ni kufadhiliwa na wananchi kwenda kupooza njaa zao pale mjengoni watakula matapishi yao.Huu ni mtihani kwa wabunge wa CCM kama kweli wanastahili kuendelea kutuwakilisha kwenye majimbo yetu,mwaka 2015.
 
What???.. Malawi!! yani hapo ndio nimechoka kabisaa, kweli hii ki kansa, si bure haki ya nani
 
Tumsaidie Rais wetu ndo maana ana watendaji chini yake, na ili kujua kinachofanyika kwenye nchi yake alimuagiza CAG kukagua matumizi ya serikali yake. Matokeo mmeyaona. Hongera sana Rais wetu zidi kuwaumbua Mafisadi usiangalie sura.

mkuu wahi Milembe
 
Hata ndani ya nyumba, baba ukiwa huna maamuzi magumu na unashindwa kukemea na kusimamia maadili lazima familia iende kombo.
 
Japo nimeiweka kama tetesi lakini muda wowote atakuwa kaingia Dodoma na tutarajie lolote. Safari hii hakuna cha "Wazee wa Dar".

Nitakuja na updates baadae kidogo

Updates:
More updates baadae.

Kwa kawaida ndani ya CCM hakuna kuwajibishana kila kitu kwao ni sahihi. Kuwawajibisha mawaziri inamaana usalama "wao" uko hatarini. Ni lazima wawalinde kwa gharama yoyote.
Tusitarajie miujiza ndani ya chama tawala!!! Ni kulindana kwa kwenda mbele
 
Anaenda Dom kufanya nini? Alikuwa wapi miaka yote kuushughulikia utendaji mbovu wa Baraza lake la Mawaziri? Kazi imemshinda maana ameshindwa kwa miaka chungu nzima kuwawajibisha Mawaziri wake hadi Wabunge wa Magamba walipoona umuhimu wa kufanya hivyo....Arudi Ikulu tu kufunga virago vyake kisha kulitangazia Taifa kwamba kazi ya kuongoza nchi imemshinda hivyo anaachia ngazi ili kupisha Serikali ya muda.
As if report ya CAG hakupewa yeye kwanza!!

jamaa mvivu na mzembe!
 
What???.. Malawi!! yani hapo ndio nimechoka kabisaa, kweli hii ki kansa, si bure haki ya nani
Kuna member mmoja humu anaitwa Mungi wa Arachuga,
anasema huyu Rais anapenda sana kuzika wenzake, inaonekana anatamani tufe wote abaki mwenyewe.........
 
Back
Top Bottom