JK Mrudishe Dr. Slaa Bungeni ili nchi itawalike

Papa D

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
753
182
Mheshimiwa Rais Wa Tanzania!
Imefika wakti nakuonea huruma jinsi mzigo wa uongozi wa Taifa unavyokuelemea. Sababu za kuelemewa na uongozi wa Taifa ni hizi:-

1. hukupata kura za kutosha kuongoza taifa hili ingawa tume ya taifa ya uchaguzi ilikutangaza mshindi
2. umejikuta ukiongoza nchi kwa kufuata ushawishi wa Dr. Slaa badala ya kufuata Sera za Chama chako.
3. Dr. Slaa ameonyesha uelewa mkubwa wa vipao mbele vya Taifa kuliko wewe ingawa umekaa kwenye mfumo wa kutengeneza Sera za Taifa kwa muda mrefu kuliko Dr. Slaa.
4. Dr. Slaa amekuwa na muda mwingi wa Kuandaa hoja zake na kuziuza kwa wananchi akitumia lugha nyepesi inayoeleweka kirahisi kwa Watanzania kuliko wewe na chama chako.
5.
6.
.
.

kama kuna mwenye nyongeza ya sababu nlizoainisha hapo juu, tafadhali orodhesha ili tumpelekee JK tayari kwa kumteua Rais Mtarajiwa aendelee kuwa bungeni.

KUTOKANA NA TISHIO HILI LA DR. SLAA, NAKUSHAURI UMTEUE KUWA MBUNGE ILI ASIWE NA NAFASI YA KUZUNGUKA NCHI NZIMA AKIUZA HOJA ZAKE KWA WANANCHI KWANI ANAUSHAWISHI MKUBWA KULIKO WEWE. UTAKAPOMUWEKA BUNGENI HATAKUWA NA NAFASI PANA KAMA ILIYONAYO SASA
 
Tatizo soyo dokta Slaa bali ni ombwe la kiuongozi la chama tawala.
 
akagombee tu ninyi hamjamjua huyo ntu kuna siku mtatueleza kirefu km anaweza kaa ofisi moja na vijana, au dogo janja yoyote atakayembishia (Zitto, Shibuda)
 
JK alidhani akipewa Dr atapata wisdom ya kujenga hoja kwa bahati mbaya hajafanikiwa 2, Amezungukwa na yes men PR team yake inaongozwa na watu wasiojenga hoja wanareact. 3 CCM na sera zake zimepitwa na wakati sana. 4 Watendeji kariibu wote wezi so Slaa anapoint tu na kila mtu anaona uchafu wa serikali na chama tawala.
 
Siku zote CCM na Dola hatudili na Mtu Mpuuzi na mpotefu kama Dr Slaa, hivi wewe ushangai Wazee wa umri wake wanalea Watoto yeye anatapatapa kulea mtoto wa miezi miwili kwa ruzuku ya chama uchafu gani huuu
Mheshimiwa Rais Wa Tanzania!
Imefika wakti nakuonea huruma jinsi mzigo wa uongozi wa Taifa unavyokuelemea. Sababu za kuelemewa na uongozi wa Taifa ni hizi:-

1. hukupata kura za kutosha kuongoza taifa hili ingawa tume ya taifa ya uchaguzi ilikutangaza mshindi
2. umejikuta ukiongoza nchi kwa kufuata ushawishi wa Dr. Slaa badala ya kufuata Sera za Chama chako.
3. Dr. Slaa ameonyesha uelewa mkubwa wa vipao mbele vya Taifa kuliko wewe ingawa umekaa kwenye mfumo wa kutengeneza Sera za Taifa kwa muda mrefu kuliko Dr. Slaa.
4. Dr. Slaa amekuwa na muda mwingi wa Kuandaa hoja zake na kuziuza kwa wananchi akitumia lugha nyepesi inayoeleweka kirahisi kwa Watanzania kuliko wewe na chama chako.
5.
6.
.
.

kama kuna mwenye nyongeza ya sababu nlizoainisha hapo juu, tafadhali orodhesha ili tumpelekee JK tayari kwa kumteua Rais Mtarajiwa aendelee kuwa bungeni.

KUTOKANA NA TISHIO HILI LA DR. SLAA, NAKUSHAURI UMTEUE KUWA MBUNGE ILI ASIWE NA NAFASI YA KUZUNGUKA NCHI NZIMA AKIUZA HOJA ZAKE KWA WANANCHI KWANI ANAUSHAWISHI MKUBWA KULIKO WEWE. UTAKAPOMUWEKA BUNGENI HATAKUWA NA NAFASI PANA KAMA ILIYONAYO SASA
 
hii ni laana ya Ndesamburo alimwambia kikwete umenipiga mabo bila kosa lolote wakati hata wakati wakutafuta uhuru zidi ya mtu mweupe hatukupigwa mabomu leo kikwete unanipiga mabomu mimi ndesa nchi haitatawalika...kwa hiyo kikwete akamuombe msamaha ndesa
 
Ukishauriwa na tapeli Dr Nchimbi utaishia wapi?
Mtu asiye na creditibility katika uelewa wake anawezaje kuwa mshauri wa Rais?
Watu wanazaliwa na Hekima maarifa ni kitu cha kujifunza.

JK alidhani akipewa Dr atapata wisdom ya kujenga hoja kwa bahati mbaya hajafanikiwa 2, Amezungukwa na yes men PR team yake inaongozwa na watu wasiojenga hoja wanareact. 3 CCM na sera zake zimepitwa na wakati sana. 4 Watendeji kariibu wote wezi so Slaa anapoint tu na kila mtu anaona uchafu wa serikali na chama tawala.
 
hii ni laana ya Ndesamburo alimwambia kikwete umenipiga mabo bila kosa lolote wakati hata wakati wakutafuta uhuru zidi ya mtu mweupe hatukupigwa mabomu leo kikwete unanipiga mabomu mimi ndesa nchi haitatawalika...kwa hiyo kikwete akamuombe msamaha ndesa

unajua maana ya kutawala?? Nani kakwambia nchi haitawaliki? Unajua tofauti ya kustawi na kutawala? Kama hujui misamiati ya kiswahili tumia ya kijijini kwenu watapatikana wakalimani. Nchi hii kwa sasa inatawalika na mbinu zote za kuifanya isitawalike zimesambaratishwa.Uzembe wa jk kutatua matatizo ya nchi hii hakuifanyi isitawalike bali unaifanya isistawi,ukitaka kujua nchi hii inatawalika kapange magogo barabarani kuzuia msafara wa viongozi then uje utujuze walichokufanya wale vijana wanaokuwa kwenye Defender nyuma ya gari ya viongozi!
 
Siku zote CCM na Dola hatudili na Mtu Mpuuzi na mpotefu kama Dr Slaa, hivi wewe ushangai Wazee wa umri wake wanalea Watoto yeye anatapatapa kulea mtoto wa miezi miwili kwa ruzuku ya chama uchafu gani huuu



Kweli bwana, umeongea sawa, lakini ukimnyooshea kidole mwenzako, ujue vingine vinne ni vyako...Kwani JK mtoto wake wa mwisho aliyezaa na mtoto wa ZAKHIA MEGJI anaumri gani vile? Na yule mkewe wa mwisho aliyeoa kutoka Tanga, ilikuwa ni lini vile? Tukumbushe basi, maana usiwe mwepesi kufuatilia ya wenzako, yako hauyajui. Shame on you GAMBA WEEEE!!!!
 
Kweli bwana, umeongea sawa, lakini ukimnyooshea kidole mwenzako, ujue vingine vinne ni vyako...Kwani JK mtoto wake wa mwisho aliyezaa na mtoto wa ZAKHIA MEGJI anaumri gani vile? Na yule mkewe wa mwisho aliyeoa kutoka Tanga, ilikuwa ni lini vile? Tukumbushe basi, maana usiwe mwepesi kufuatilia ya wenzako, yako hauyajui. Shame on you GAMBA WEEEE!!!!

Na ukitaka kujua viongozi Waasherati kama mfalme Mswati hapa Tz ni JK.Enzi za ujana wake palikuwa hapatoshi,hadi watu wamefungwa jela kwa 7bu ya Mademu....HERI MIMI NIWE PRESIDAA KULIKO ALIYEPO SASA MAGOGONI
 
Mheshimiwa Rais Wa Tanzania!
Imefika wakti nakuonea huruma jinsi mzigo wa uongozi wa Taifa unavyokuelemea. Sababu za kuelemewa na uongozi wa Taifa ni hizi:-

1. hukupata kura za kutosha kuongoza taifa hili ingawa tume ya taifa ya uchaguzi ilikutangaza mshindi
2. umejikuta ukiongoza nchi kwa kufuata ushawishi wa Dr. Slaa badala ya kufuata Sera za Chama chako.
3. Dr. Slaa ameonyesha uelewa mkubwa wa vipao mbele vya Taifa kuliko wewe ingawa umekaa kwenye mfumo wa kutengeneza Sera za Taifa kwa muda mrefu kuliko Dr. Slaa.
4. Dr. Slaa amekuwa na muda mwingi wa Kuandaa hoja zake na kuziuza kwa wananchi akitumia lugha nyepesi inayoeleweka kirahisi kwa Watanzania kuliko wewe na chama chako.
5.
6.
.
.

kama kuna mwenye nyongeza ya sababu nlizoainisha hapo juu, tafadhali orodhesha ili tumpelekee JK tayari kwa kumteua Rais Mtarajiwa aendelee kuwa bungeni.

KUTOKANA NA TISHIO HILI LA DR. SLAA, NAKUSHAURI UMTEUE KUWA MBUNGE ILI ASIWE NA NAFASI YA KUZUNGUKA NCHI NZIMA AKIUZA HOJA ZAKE KWA WANANCHI KWANI ANAUSHAWISHI MKUBWA KULIKO WEWE. UTAKAPOMUWEKA BUNGENI HATAKUWA NA NAFASI PANA KAMA ILIYONAYO SASA

Why do you think Dr. Slaa would want to take part in this administration? Hakuna faida yeyote kwa Dr. Slaa au mbunge yeyote wa CDM kukubali cheo kwenye hii administration ambayo iko njiani kwenda kwenye sewer. Kwa namna mambo yanavyokwenda CDM ina uhakika wa kuchukua dola 2015. Tanzanians will face 3 more years of suffering but the country will rise again. 2015 is not as far as it may seem!!
 
Dr. Slaa keshavuka stage ya UBUNGE ni presidential material. Na hata kama akirudi mjengoni bado mambo ni yaleyale coz umaarufu wake umekuwa mkubwa sana akiwa mjengoni pale alipotaja list of Shame katika viwanja vya Mwembeyanga.
 
naona unawashwa,yaani aajiri watu kwa kosa gani alilofanya?nyie mnatumika na hao mabwana zenu magamba wanaowapa posho.
 
Mheshimiwa Rais Wa Tanzania!
Imefika wakti nakuonea huruma jinsi mzigo wa uongozi wa Taifa unavyokuelemea. Sababu za kuelemewa na uongozi wa Taifa ni hizi:-

1. hukupata kura za kutosha kuongoza taifa hili ingawa tume ya taifa ya uchaguzi ilikutangaza mshindi
2. umejikuta ukiongoza nchi kwa kufuata ushawishi wa Dr. Slaa badala ya kufuata Sera za Chama chako.
3. Dr. Slaa ameonyesha uelewa mkubwa wa vipao mbele vya Taifa kuliko wewe ingawa umekaa kwenye mfumo wa kutengeneza Sera za Taifa kwa muda mrefu kuliko Dr. Slaa.
4. Dr. Slaa amekuwa na muda mwingi wa Kuandaa hoja zake na kuziuza kwa wananchi akitumia lugha nyepesi inayoeleweka kirahisi kwa Watanzania kuliko wewe na chama chako.
5.
6.
.
.

kama kuna mwenye nyongeza ya sababu nlizoainisha hapo juu, tafadhali orodhesha ili tumpelekee JK tayari kwa kumteua Rais Mtarajiwa aendelee kuwa bungeni.

KUTOKANA NA TISHIO HILI LA DR. SLAA, NAKUSHAURI UMTEUE KUWA MBUNGE ILI ASIWE NA NAFASI YA KUZUNGUKA NCHI NZIMA AKIUZA HOJA ZAKE KWA WANANCHI KWANI ANAUSHAWISHI MKUBWA KULIKO WEWE. UTAKAPOMUWEKA BUNGENI HATAKUWA NA NAFASI PANA KAMA ILIYONAYO SASA

hatuteui mtu sis!i mwache ale jeuri yake yeye si alikataa Kumtambua ingawa aligaragazwa kwenye uchaguzi Mkuu? kwanza anatakiwa apumzike yule ana matatizo mengi kwenye familia yake hayajakaa sawa na huu ndio muda wake sasa wa ku deal nayo!
 
Siku zote CCM na Dola hatudili na Mtu Mpuuzi na mpotefu kama Dr Slaa, hivi wewe ushangai Wazee wa umri wake wanalea Watoto yeye anatapatapa kulea mtoto wa miezi miwili kwa ruzuku ya chama uchafu gani huuu

mtoto ni baraka toka kwa Mungu,ni vijana wangapi wanatafuta watoto bila mafanikio.

Hata wazee waliotutangulia waliwahi kupata watoto late,Isaka ndani yabiblia alipatikana vipi?

Siku zote,asiyejua maana haambiwi maana,kumbuka kila mtoto Mungu anamadhumuni nae let the purpose of God be fulfill to my child,Naenda kinyume na maneno yenu machafu yote yaliyotamkwa dhidi ya mtoto wangu na baba, yake,mpango wa Mungu juu ya maisha yao lazima utimie.

Naamuru maneno mabaya yote yamrudie atakae andika na kuyatamka popote pale.
 
Back
Top Bottom