Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
jenga viwanda bara bara ingejileta kwa faida ya machungwa au nanasi ila nyie hamjui hata kipaombele badala yake mmeuza viwanda chuma chakavu mnajenga bara bara kwa mkopo deni la taifa linakuwa kwa kasi ya ajabu haijawahi tokea
Na zile million 183 za ruzuku alizokopa Babu hawara toka CDM inakuwaje au alishalipa?