JK mgeni rasmi tamasha la injili Dar

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko huo. LONG LIVE JK, LONG LIVE TANZANIA
 
Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko huo. LONG LIVE JK, LONG LIVE TANZANIA

anatafuta pa kutokea tu huyo.

na hilo tamasha litapata hasara ya mwaka.
 
Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko huo. LONG LIVE JK, LONG LIVE TANZANIA
wanashindana na lowassa?
 
na kwa taarifa yenu hamtaamini kitakachotokea siku hiyo. Kukudokezeeni ni kuwa mjomba atatoa ushuhuda wa loliondo na kisha kumpokea Yesu!
 
Natamani umeme uwakatikie katikati ya shughuli, maana huyo mzee hajawahi kujaribu inakuwaje kukaa gizani
!
 
Natamani umeme uwakatikie katikati ya shughuli, maana huyo mzee hajawahi kujaribu inakuwaje kukaa gizani
!
ulijuaje? watu wako kazini juu kwenye nguzo wanalazimishwa washuke umeme uwashwe kisa mkulu kaja home kwake kula weekend!!!!!!!
 
Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko huo. LONG LIVE JK, LONG LIVE TANZANIA

Anataka kujionesha kwamba yeye "si mdini," right?
 
Mratibu wa tamasha la nyimbo za injili bwana Alex Massama amesema kuwa Mpendwa wetu Rais Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la pasaka. Kwa taarifa zilizopo mhe JK amekubali mwaliko huo. LONG LIVE JK, LONG LIVE TANZANIA

yeah right
 
Natamani umeme uwakatikie katikati ya shughuli, maana huyo mzee hajawahi kujaribu inakuwaje kukaa gizani
!

Mkuu, kwa vile atakuwepo mkulu wa nchi, lazima kutakuwa na maandalizi ya uhakika, kwa hiyo bado hataonja kukaa gizani.
 
Back
Top Bottom