JK mawaziri wawili wanatuchefua unaweza kuwafanyia namna????

Tatizo kubwa sana na ambalo linanikera katika uongozi wa serikali ya awamu ya nne, ni Mawaziri kuongozana na vyombo vya habari kila anakokwenda ili apigwe picha, na habari yake iandikwe ili Rais aone kwamba jamaa anafanya kazi.

Sasa matokeo yake ni kwamba, unakosa cha kuzungumza, unazungumzia Mawaziri kutoanikwa hadharani kama hawajalipa kodi ya maji, halafu inageuka kuwa ishu ya kujadiliwa magazetini, mtandaoni na kwenye redio. Wastage of time and resources.

Waziri mwenye akili akitembelea mtambo wa maji wa Ruvu Chini au Juu, anatakiwa ajiandae kuwaambai Watanzania mipango ya Serikali juu ya kuwaondolea wananchi tatizo la maji, bajeti iliyopo,wafadhili, matarajio ya baadaye na kadhalika. Give out a constructive speech. Kutoka Dar mpaka Ruvu amechoma mafuta ya Serikali, kuna posho za watu alio ongozana nao, madereva na waandishi wa habari. Halafu, kwa gharama zote hizo, Profesa mzima unatoa hotuba ya kitoto namna hiyo mpaka hata mtoto wa shule anahoji kauli yako.

Ni heri kukaa kimya ukaonekana mwerevu hata kama sivyo ulivyo.
 
Its all about setting precedent bwana, hela zitalipwa, how do we know bili walipata? kama kuna deni benki mtu amepata shida kulipa na anashughulikia kulipa, naye aanikwe magazetini? waache sifa Dawasco, pesa zitatafutwa kwa kufuata procedures.

Kwanza hakuongozana na hao waandishi, yeye alienda zake kikazi,
Mbona swala la maji jeshi ameshalitatua, mpeni muda Dawasco watalipwa.
 
Naona umemshikia bendera Muungwana

kabisa kibunango....mkono mtupu haulambwi...sisi tutalamba OUTPUT[MAFANIKIO]..unajua muungwana personel nampenda ..,tatizo kubwa ni kuwa bado AHADI ZAKE NYINGI HAJATEKELEZA ..NA MWAKA WA TATU UNAKARIBIA..mwaka wa kwanza ulipoisha tulimuweka kiti moto hapa..wakaja watu kutetea oooh mwaka mmoja hautoshi....mwaka wa pili wakasema ooh..kakamilisha misingi as if aliikuta nchi imesombwa na mafuriko ..wakati yeye alisema kwenye kamapeni kuwa nchi ipo kwenye runway ..inashika kasi yeye akiingia ni kupaa tu!!!!

mradi pekee wa jk uliofanikiwa ni ule WA SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA...PAMOJA NA KUWA BADO ANAKABILIWA NA TATIZO LA WALIMU..NAKIRI NIMEZUNGUKA NCHI NA KILA KIJIJI AU KATA KINA JENGO LA SHULE...TATIZO WALIMU!!!!!

zaidi ya hiyo kibunango nitajie mafanikio kama wewe una macho makali!!!..sidhani kama ziara ya bush tutaita mafanikio....maana tangu uhuru wageni wamekuwa wakiingia na kutoka..pamoja na kuwa alhamdululah ..inshaalah..katusaidia ARV na NETI tunamshukuru!!!
 
Mimi nafikiri alichosema Mwandosya ni kwamba yuko karibu namawaziri anaweza akawapigia simu na kuwadai siyo kutoa hela mfukoni kuwalipia madeni
 
kabisa kibunango....mkono mtupu haulambwi...sisi tutalamba OUTPUT[MAFANIKIO]..unajua muungwana personel nampenda ..,tatizo kubwa ni kuwa bado AHADI ZAKE NYINGI HAJATEKELEZA ..NA MWAKA WA TATU UNAKARIBIA..mwaka wa kwanza ulipoisha tulimuweka kiti moto hapa..wakaja watu kutetea oooh mwaka mmoja hautoshi....mwaka wa pili wakasema ooh..kakamilisha misingi as if aliikuta nchi imesombwa na mafuriko ..wakati yeye alisema kwenye kamapeni kuwa nchi ipo kwenye runway ..inashika kasi yeye akiingia ni kupaa tu!!!!

mradi pekee wa jk uliofanikiwa ni ule WA SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA...PAMOJA NA KUWA BADO ANAKABILIWA NA TATIZO LA WALIMU..NAKIRI NIMEZUNGUKA NCHI NA KILA KIJIJI AU KATA KINA JENGO LA SHULE...TATIZO WALIMU!!!!!

zaidi ya hiyo kibunango nitajie mafanikio kama wewe una macho makali!!!..sidhani kama ziara ya bush tutaita mafanikio....maana tangu uhuru wageni wamekuwa wakiingia na kutoka..pamoja na kuwa alhamdululah ..inshaalah..katusaidia ARV na NETI tunamshukuru!!!

Si kweli maana kijijini na katani kwangu hakuma shule hata moja .Ila kuna shule moja ya wazazi kwenye tarafa sasa figure out umezunguka wapi .Ulifika katani kwangu ?
 
Naunga mkono kwa huyu Mr chenge nafikiri raisi amuangalie vizuri lakini huyu Engineer tunahitaji uthibitisho zaidi kaka.Balaza sio baya lakini ukiangalia kwa makini bado kuna harufu ya kulindana. Tatizo vijana wenye uchungu na taifa hawataki kujiunga ktk siasa hivyo kumfanya raisi akose altenative ktk selection. Wake up guys this is our country we to develop it.
 
Naunga mkono kwa huyu Mr chenge nafikiri raisi amuangalie vizuri lakini huyu Engineer tunahitaji uthibitisho zaidi kaka.Balaza sio baya lakini ukiangalia kwa makini bado kuna harufu ya kulindana. Tatizo vijana wenye uchungu na taifa hawataki kujiunga ktk siasa hivyo kumfanya raisi akose altenative ktk selection. Wake up guys this is our country we to develop it.

Mimi sijui Data gani mnazitaka wakati aliambatana na wanahabari na akalopoka hivyo, lakini usijali nitakushushia Data zingine. Sijui kama unafahamu kama kibari cha CELTEL kiliandikwa CELNET na huyu Prof alishiriki kukibadilisha ili kiitwe CELTEL ili iwe rahisi kwa kampuni ya mwekezaji iitwayo MSI(Mobile System International) ya Uholanzi iliyowekeza TTCL kumiliki System ya MOBILE ambayo kipindi husika walikuwa tayali wameshawekeza katika nchi ambazo sasa hivi zina huo mtandao wa Celtel maana isingeleta picha nchi zingine iwe Celtel TZ iitwe Celnet. Hivyo basi kwa kupitia kwa Prof walibadili jina hilo na kuiita CELTEL na zawadi aliyopewa ni mtoto wake kwenda kusomeshwa SOUTH AFRICA kwa ghalama za MSI ambao ni wamiliki wa Celtel Na jina la mtoto wake huyo anaitwa Sekela.

Sikutaka kuyasema haya lakini kwa kuwa unataka data nitaendelea kukupa data zingine, Mambo haya yote aliyafanya alipokuwa waziri wa mawasiliano na uchukuzi kumbuka pia aliwanyang'anya TTCL jengo lao walilokuwa wanalitumia Dar es salaam south pale makao makuu ya Celtel na kuwapa MSI watumie kama makao makuu yao na kwa wakati wakisingizia kuwa Celtel ni kampuni tanzu ya TTCL lakini baada ya kuvuruga mambo wakajiengua na TTCL ikaomnba kibari kingine cha kuanzisha Mobile wakapewa na wakaita TTCL MOBILE ni mtandao ambao hadi sasa uko hewani.

Kumbuka kuwa TTCL iliuzwa kwa dolla za kimarekani milioni 120 awamu ya kwanza waheshimiwa hawa MSI walilipa dolla milini 60 awamu ya pili walilipa Dolla milioni 4 (nne) kwa kisingizio kwamba mahesabu ya TTCL ya mwaka 2000 hayakuwa sahihi!kulikuwa na hasara mahesabu ambayo ikipewa kampuni ya kiafrika ilikuwa inasema kuna faida lakini wakipiga mahesabu wazungu hawa walikuwa wanasema kuna Hasara Na Profesa alikuwepo aliishuhudia ABDAKADABLA(longolongo) hii.Wafanyakazi walilalamika sana (Mr Clean )akaziba masikio Profesa akaendelea kudunda hadi leo anaonekana mtu safi.

Naomba niishie hapa sitaki kuzungumzia Wizara ya MAJI NISHATI NA MADINI wakati ule enzi za Mzee Ruksa Profesa alikuwa katibu mkuu wa wizara na JK alikuwa waziri Prof. Aliyoyafanya kwenye wizara wakati ule Tafuta Data mwenyewe.

Tunachokisema leo ahukumiwe kwa maneno aliyoyasema leo sio yale ya wakati ule. Profesa hatufai Arudi chuoni.Ma-engineer
kuwa wanasiasa ndio wanatuvurugia mambo.
 
Bwana kizito data zako kuhusu pro siyo sahihi fanya uchunguzi zaidi utakuta mengi ni majungu ya siasa.kilichomutoa prof Nishati na Madini muulize boss wako atakueleza.
 
Mimi sijui Data gani mnazitaka wakati aliambatana na wanahabari na akalopoka hivyo, lakini usijali nitakushushia Data zingine. Sijui kama unafahamu kama kibari cha CELTEL kiliandikwa CELNET na huyu Prof alishiriki kukibadilisha ili kiitwe CELTEL ili iwe rahisi kwa kampuni ya mwekezaji iitwayo MSI(Mobile System International) ya Uholanzi iliyowekeza TTCL kumiliki System ya MOBILE ambayo kipindi husika walikuwa tayali wameshawekeza katika nchi ambazo sasa hivi zina huo mtandao wa Celtel maana isingeleta picha nchi zingine iwe Celtel TZ iitwe Celnet. Hivyo basi kwa kupitia kwa Prof walibadili jina hilo na kuiita CELTEL na zawadi aliyopewa ni mtoto wake kwenda kusomeshwa SOUTH AFRICA kwa ghalama za MSI ambao ni wamiliki wa Celtel Na jina la mtoto wake huyo anaitwa Sekela.

Sikutaka kuyasema haya lakini kwa kuwa unataka data nitaendelea kukupa data zingine, Mambo haya yote aliyafanya alipokuwa waziri wa mawasiliano na uchukuzi kumbuka pia aliwanyang'anya TTCL jengo lao walilokuwa wanalitumia Dar es salaam south pale makao makuu ya Celtel na kuwapa MSI watumie kama makao makuu yao na kwa wakati wakisingizia kuwa Celtel ni kampuni tanzu ya TTCL lakini baada ya kuvuruga mambo wakajiengua na TTCL ikaomnba kibari kingine cha kuanzisha Mobile wakapewa na wakaita TTCL MOBILE ni mtandao ambao hadi sasa uko hewani.

Kumbuka kuwa TTCL iliuzwa kwa dolla za kimarekani milioni 120 awamu ya kwanza waheshimiwa hawa MSI walilipa dolla milini 60 awamu ya pili walilipa Dolla milioni 4 (nne) kwa kisingizio kwamba mahesabu ya TTCL ya mwaka 2000 hayakuwa sahihi!kulikuwa na hasara mahesabu ambayo ikipewa kampuni ya kiafrika ilikuwa inasema kuna faida lakini wakipiga mahesabu wazungu hawa walikuwa wanasema kuna Hasara Na Profesa alikuwepo aliishuhudia ABDAKADABLA(longolongo) hii.Wafanyakazi walilalamika sana (Mr Clean )akaziba masikio Profesa akaendelea kudunda hadi leo anaonekana mtu safi.

Naomba niishie hapa sitaki kuzungumzia Wizara ya MAJI NISHATI NA MADINI wakati ule enzi za Mzee Ruksa Profesa alikuwa katibu mkuu wa wizara na JK alikuwa waziri Prof. Aliyoyafanya kwenye wizara wakati ule Tafuta Data mwenyewe.

Tunachokisema leo ahukumiwe kwa maneno aliyoyasema leo sio yale ya wakati ule. Profesa hatufai Arudi chuoni.Ma-engineer
kuwa wanasiasa ndio wanatuvurugia mambo.

lete proof huku, documents, mikataba siyo maneno ya mtaani tu.
Au Agenda 21 wanajaribu kukupa data ili uweke huku ujaribu kumchafua, ni porojo tu kama unasema kitu halafu unasema data watu wakatafute wenyewe, weka humu data maana wewe ndio uliye sema Prof amefanya mambo alivyokuwa katibu mkuu.

Huyo Engineer mwanasiasa amepita ubunge bila upinzani mara mbili, na kwa mara ya kwanza yake kugombea mchakato wa uraisi alifanikiwa kuwa kwenye "Tatu bora"....
hiyo ni fact, tuambie ni nini kama engineer ameboronga kisiasa?

Kwanza mtoto wake hakusomeshwa na MSI SouthAfrica, ni udaku huo.
Sekela hajasoma SouthAfrica. Anasoma UK. Anamalizia PHD ya Electrical Engineering nenda hapa http://postgrad.eee.bham.ac.uk/smm805/
na kwa mtu mwenye akili anayesomea mambo ya communications, kupata internship kwenye company ya communication is called ....logic.

Labda mwenzetu una documents zaidi, zimwage humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom