Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Vasco Da gama lazima aitembelee dunia yote!!Kaenda kufanya nini tena huko?
Utalii wa kisiasa. Who will pay for the travel costs? Sie?
Ndege yetu imepona kumbe?....halafu mbona gwaride lake na la msaidizi wake havifanani?
Utalii wa kisiasa. Who will pay for the travel costs? Sie?
Kaenda kwa Gabgo... Kwenye mazungumzo ya suluhu.
Maraisi na viongozi wenzake, pindi inapotokea dharula hukatisha hata likizo zao lakini kwa kuwa jamaa ni mvumbuzi wa safari ameona ishu ya G'mboto haina maana (ukizingatia keshapiga picha za tabasamu lisilo na tafakauri na wahanga) hivyo kaona bora kwenda kujipumzikia huko nje