Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
Yeye mwenye ni fisadi, aanze kujishughilikia yeye mwenye kwanza kwa kuwa yupo kwenye list of shame aliyoitaja Rais dr.Slaa tena anacheza no.11 Huyu Fisadi Kikwete, na hizo barua wanazopeana je na yeye huyu Fisadi Papa Kikwete atapewa
list of shame ushaifanya ndo gospel.common dont you have common sense.
Haya lets assume naye ni fisadi though i dont beliave,the man is a presdent of Tanzania how do you deal with that or you think one bright morning he announce,'nimegundua nami fisadi so naachia ngazi wilbroad will take ma chance as a prez,'that is the way you think,man growup