JK kwenda kumpokea Prof. Lipumba

Baaada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila serikali kutoa pongezi kwa prof.lipumba juu ya uteuzi wake wa kuwa m/kiti wa maprofesa wa uchumi duniani baada ya kuwashinda zaidi ya maprofesa 555 duniani na akiwa mwafrika peke yake, raisi kikwete ameamua kwenda kumpokea prof.lipumba tarehe 11/3/2010 ktk uwanja wa ndege wa j.k.nyerere. Je hii ni sahihi?

Yesu, Maria na Yosefu...!!! Rais wangu ana mambo!!! asumbue watu barabarani kwenda kumpokea Lipumba??? si amualike Ikulu??

Something is really not happening somewhere
 
Kikwete yeye anayumba tu katika kila jambo,hata katika hili sishangai.Yeye kama raisi anapashwa kuwalaki maraisi wenzie,hii ndiyo protocol.Lipumba kwa sasa ni mwananchi wa kawaida tu,hata waziri kumpokea ingekuwa ni makosa,ingawa kwa kweli hata mimi namhusudu kama hakuna jambo lolote nyuma ya pazia katika kuchaguliwa kwake.
Baaada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila serikali kutoa pongezi kwa prof.lipumba juu ya uteuzi wake wa kuwa m/kiti wa maprofesa wa uchumi duniani baada ya kuwashinda zaidi ya maprofesa 555 duniani na akiwa mwafrika peke yake, raisi kikwete ameamua kwenda kumpokea prof.lipumba tarehe 11/3/2010 ktk uwanja wa ndege wa j.k.nyerere. Je hii ni sahihi?
 
Alikuwa mshauri wa Mwinyi na pia Mkapa kwa kipindi flani kama sikosei.

Kama waliangalia achievements zake, basi bado sishangazwi, ndo kazi zao kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

Kwani hata Mkapa si walimsifia kuwa uchumi ni mzuri na unakuwa wakati wananchi mambo ni mbaya hadi wakamwita kuwa ni "Mtu /Rais aliyewatoa kapa" kwa ukata?

Madhali ushauri alioutoa ndo umetufikisha hapa, basi sioni shaka kama wakimpeda.

Juu ya kumsifia mkapa kupanda kwa uchumi nadhani hata wewe waweza kuwa shahidi wahilo,kwani unaweza kufananisha tu kipindi hicho na cha sasa hususani ktk maswala ya kiuchumi.
hata wachina wanaosifika kwa uchumi wao kukuwa si kwamba wananchi wao wana uwezo ama wanapesa nyingi sana mifukoni mwao,la hasha nao pia wanapiga kelekele sana,hali ni ngumu hata kwa upande wao

Naomba jiridhishe juu ya Prof Nguyuru Haruna hapa china
1999- Independent Consultant, Dar es Salaam
1996-1998, Senior Research Fellow at the World Institute for Development
Economics Research, UNU/WIDER, Finland.
1993-1995, Fullbright Visiting Professor, Centre for Development Economics
Williams College, USA.
1991-1993, Personal Assistant to the President (Economic Affairs) i.e.
Economic Advisor to the President of the United Republic of Tanzania.
1989-1996, Associate Professor Department of Economics, University of Dar es
Salaam.
1996-1998, Senior Research Fellow, World Institute of Development
Economics Research, United Nations University, Helsinki, Finland.
Consultant to
The World Bank, UNDP, Global Coalition for Africa, Preferential Trade Area
for Eastern and Southern Africa (now COMESA), Swedish International
Development Agency (SIDA), NORAD, DANIDA, Ministry of Foreign Affairs
Finland, Bank of Tanzania, Macroeconomic and Financial Management
Institute of Eastern and Southern Africa, African Capacity Building Foundation.

kwa hiyo sio kwamba anasifiwa kama sadaka hapana ni kweli Prof anauwezo Tatizo hatutaki kumtumia
 
1991-1993, Personal Assistant to the President (Economic Affairs) i.e.
Economic Advisor to the President of the United Republic of Tanzania.
1989-1996, Associate Professor Department of Economics, University of Dar es
Salaam.
Kwahiyo sasa tuko ukurasa mmoja kuwa amechangia haya "maendeleo" ya uchumi wetu chini ya Mwinyi na Mkapa, sivyo?
 
hiki kichwa ni kizuri sana manufaa ya taifa letu ila basi tu hatukitumii yaweza kuwa ndiyo sababu tupo hapa tulipo
 
Kama NEC wangeshiriki kwenye huo mchakato basi Lipumba hyo nafas hata miam0ja bora asingefika!
 
Inaelekea una source nzuri ya info..maana hata tarehe ya kurudi bw. lipumba unayo sasa weka kila kitu jamvini tujue ili na sisi wananchi tukampokee

it meanz lipumba alisharud miaka kadhaa iliyopita,si umeona amesema tarehe 11 march 2010
 
Nooo....!!!! Ur mixing kuku na bata ni yupi hadi leo?
I dought ur ability of screening wasomi wa papers only na wasomi wa practical know how...... Kaa kitako nikupe somo...

Prof. Lipumba ni kati ya wasomi wa darasani tu niwasemao, hayupo practical to see TANGIBLE RESULTS OF HIS ACADEMICS & CVs full of researcheeeeee.....eeessssss.....
Being qualified & delivered what ur qualified for to result into solving the problems efficiently ni tofauti....
Alishapewa muda sana huko nyuma hakuna + results he yielded,
So SIO WA KUMPIGIA DEBE TUPU HAPA....



Juu ya kumsifia mkapa kupanda kwa uchumi nadhani hata wewe waweza kuwa shahidi wahilo,kwani unaweza kufananisha tu kipindi hicho na cha sasa hususani ktk maswala ya kiuchumi.
hata wachina wanaosifika kwa uchumi wao kukuwa si kwamba wananchi wao wana uwezo ama wanapesa nyingi sana mifukoni mwao,la hasha nao pia wanapiga kelekele sana,hali ni ngumu hata kwa upande wao

Naomba jiridhishe juu ya Prof Nguyuru Haruna hapa china
1999- Independent Consultant, Dar es Salaam
1996-1998, Senior Research Fellow at the World Institute for Development
Economics Research, UNU/WIDER, Finland.
1993-1995, Fullbright Visiting Professor, Centre for Development Economics
Williams College, USA.
1991-1993, Personal Assistant to the President (Economic Affairs) i.e.
Economic Advisor to the President of the United Republic of Tanzania.
1989-1996, Associate Professor Department of Economics, University of Dar es
Salaam.
1996-1998, Senior Research Fellow, World Institute of Development
Economics Research, United Nations University, Helsinki, Finland.
Consultant to
The World Bank, UNDP, Global Coalition for Africa, Preferential Trade Area
for Eastern and Southern Africa (now COMESA), Swedish International
Development Agency (SIDA), NORAD, DANIDA, Ministry of Foreign Affairs
Finland, Bank of Tanzania, Macroeconomic and Financial Management
Institute of Eastern and Southern Africa, African Capacity Building Foundation.

kwa hiyo sio kwamba anasifiwa kama sadaka hapana ni kweli Prof anauwezo Tatizo hatutaki kumtumia
 
Tusipende majungu yasiyokuwa na sababu,yeyote mwenye uelewa na mwenyekuipenda nchi yake lazima awe proud na achievement ya mtanzania mwenzetu Prof:Lipumba.Anayehusisha hili na mtizamo wake wa kisiasa nashindwa kumtofautisha na mzembe wa kufikiri(Poyoyo/pompompo):Tuwekeni siasa pembeni turudi kwenye facts,Prof inatakiwa serikali imtumie kwani mtu potential sana kwa mustakabali wa uchumi wa Taifa letu lakini hapewi nafasi maana hata serikali yetu imetanguliza chama mbele then maslahi ya taifa baadae!!Keep it up my tribe-mate wanakuchukukia mdomoni lakini nafsi zao zinawasuta kwa mafanikio yako!!
 
Back
Top Bottom