omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Habari wana jamvi,
Nimekutana na haka ka-quote kwenye gazeti la Raia Mwema na kakanikumbusha mambo mengi sana.
"Mie ndiye mwajiri mkuu, nisikilizeni mimi. Msimsikilize Mgaya. Mtafukuzwa kazi wala Mgaya hamtamuona. Mtapoteza haki zenu…. Akili ni nywele kila mtu ana zake. Mtu mzima dawa."
My take:
Wataalamu wa sheria za kazi na ajira mnasemaje hapo hapo kwenye red!?
Nimekutana na haka ka-quote kwenye gazeti la Raia Mwema na kakanikumbusha mambo mengi sana.
"Mie ndiye mwajiri mkuu, nisikilizeni mimi. Msimsikilize Mgaya. Mtafukuzwa kazi wala Mgaya hamtamuona. Mtapoteza haki zenu…. Akili ni nywele kila mtu ana zake. Mtu mzima dawa."
My take:
Wataalamu wa sheria za kazi na ajira mnasemaje hapo hapo kwenye red!?