Elections 2010 Jk kwanini hakuvunja baraza la mawaziri?

boma2000

JF-Expert Member
Oct 18, 2009
3,280
310
Kwa utaratibu wa kawaida miaka yote huwa naona kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika huwa rais wa jamhuri anatangaza kuvunja baraza la mawaziri na makatibu wakuu wanakaimu kwa muda mfupi. Lakini mwaka huu kwa mara ya kwanza sikusikia Rais anayemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete amevunja baraza la mawaziri. inamaana kuna utaratibu mpya na adhari zake ni nini?
 
Kwa utaratibu wa kawaida miaka yote huwa naona kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika huwa rais wa jamhuri anatangaza kuvunja baraza la mawaziri na makatibu wakuu wanakaimu kwa muda mfupi. Lakini mwaka huu kwa mara ya kwanza sikusikia Rais anayemaliza muda wake Jakaya Mrisho Kikwete amevunja baraza la mawaziri. inamaana kuna utaratibu mpya na adhari zake ni nini?

Imeandika kwenye katiba ipi? please give us the page.
 
Ni utaratibu wa kawaida wa kuendesha serikali, sina hakika na katiba inasemaje
 
Naomba msaada wa kisheria kwanini baraza la mawaziri halikuvunjwa?
Kama ni sheria kuvunja baraza la mawaziri je wale walioshindwa na bado ni mawaziri hawawezi kuvujisha nyaraka za serikali yetu. Si nyaraka tu, fedha yetu itasalimika? Miradi yetu itasalimika?
Naomba sana msaada wenu wa Jf
 
Back
Top Bottom