I have always find our President with many "good intentions" ila utekelezaji ndio unakuwa kimbembe...Mshabiki wa Maathir..sawa.Kamleta hadi Dr ..wa Gramin bank...sawa.
Hakuna impact so far. Ni kuzungushana tu.
Mipango bila utekelezaji ni kazi bure. Mh Rais ange concetrate kwenye vitu vichache ambavyo vingeleta impact mf madini ,elimu na afya.
Sasa ukishika kila kitu halafu usitoke na kitu ndio inakuwaje?
Maisha yanazidi kuwa magumu kila siku!
Hakuna impact so far. Ni kuzungushana tu.
Mipango bila utekelezaji ni kazi bure. Mh Rais ange concetrate kwenye vitu vichache ambavyo vingeleta impact mf madini ,elimu na afya.
Sasa ukishika kila kitu halafu usitoke na kitu ndio inakuwaje?
Maisha yanazidi kuwa magumu kila siku!