Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,467
- 17,306
Kumbuka pia anazidi kuongez amzigo kwa walipa kodi anateua wapya kibao anastaafisha wengoi zaidi....wote huo mzigo wetu!!!nakumbuka Pinda alisema chakato utakuwa tayari mwezi May nakumbuka sana alisema bungeni mwezi Feb kama sijakosea....walikuwa wanapambana na mikoa mipya na wilaya mpya gharama tupu