JK Kutangaza wakuu wapya wa Mikoa?

Status
Not open for further replies.
Atangaze tu ili waje wamsaidie kwenye uchaguzi uwe kwa uchakachuaji au vyovyote vile
 
Ninacho fikiri mimi Mheshiwa Kikwete anajipanga kwa ajili ya uchaguzi wa 2015,kwani katika CCM ndani kwa ndani kuna makundi yanayotaka madaraka kuliko hata wapinzani na wana nguvu kubwa. Hivyo anajaribu kupanga kikosi kazi ambacho kitamsaidia kumweka madarakani mtu atakaye mtaka yeye,Ikumbukwe kua toka kuvunjwa kwa baraza la mawaziri kipindi cha Richmond hajafanya uteuzi wa Ma Rc na ma Dc,waliopo sasa hivi ni wale waliowekwa na Mheshiwa waziri mkuu mstaafu,na hiyo safu aliyokua ameiweka aliipanga makusudi ije imsaidia kuingia Ikulu 2015 baada ya Swaiba kumaliza muda wake.
 
Tusubiri tuone labda wanakuja watu kutoka nje ya tanzania, wakuu wamikoa na wilaya kutoka WB na IMF maana hawa walipo ni bure kabsa
 
habari nlizozipata jamaa kamaliza kuandaa orodha yake tayari kwa kusomwa hadharani

Kwa taarifa hii ambayo iko so scanty and speculative in nature tuchangie nini? You should have waited for further details before you issue the alert.
 
atangaze asitangaze atajua mwenyewe.

hao wakuu wa mikoa/wilaya hawana faida yoyote kwangu. ninachojua watu hawa ni makada wa CCM, chama ninachokichukia maisha!
 
makamba, bashe, mongela, tambwe, shitambala, yono auction mart, law masha, mpesya, violet mzindakaya, rizi one, makongoro nyerere, kawawa, william malecela, bonifas makene, mhingo rweyemamu ndani ukuu wa wilaya na mikoa. Kalembo, kone, balele, babu, sadik, lukuvi, nje.......zamu ya akina ukoo wa akina fulani sasaaa maana baba zao ndo wamemfikisha hapo alipo
 
Labda anaona inaruhusu CDM kuandamana na kuendelea kukubalika zaidi kwa wananchi

Maandamano ya CDM si ruhusa ya wakuu wa mikoa wala wakuu wa polisi, maandamano ni haki ya kila mtanzania ili mradi tu yanakuwa ya amani. Serikali haina hoja ya kuzuia maandamano hayo na ikabakia salama, kwanza kuzuia maandamano kunachochea hisia za kuonewa ambazo zinaweza kuleta tension kama ile ya Arusha ambayo inafanya kazi very well kwa upande wa wapinzani, ndiyo hata JK mwenyewe ameona kuendelea kumtumia IGP na vyombo vya dola kuikandamiza CDM siyo tu inaondoa imani ya vyombo hivyo kwa wananchi na kuifanya nchi kuwa ngumu kutawalika bali pia inatishia misaada kutoka nje ambayo bila hiyo serikali ya JK is nothing.
 
am tryin to ask myself... do we really need them?:smash:
anataka kuwapiga chini anaowasingizia kuwa wanamuangusha. si unakumbuka vile alisema anaagiza mawaziri waende vijijini? ile ilikuwa ni gia ya kupiga watu chini aweke watu wake waliotuma maombi ya ulaji kwake.

subiri uone.
 
am tryin to ask myself... do we really need them?:smash:

I am just being curious. Aren't these positions constitutional? If yes, then scrapping them would require moving a motion for constitutional amendments that will expunge the provisions catering for these positions. If not, then I would agree that the Executive should consider these as an avenue for cost reduction (if removed). That can be done after strengthening the local government.
 
Tunasubiri hiyo orodha ya vyeo vya zawadi vya ukuu wa mkoa na wilaya. Baadhi yao walipokuwa wanalalamikia faulo za mchakato wa uteuzi wa wagombea mwaka jana, aliwaahidi kuwa wasililie manake vyeo bado ni bwerere! Mojawapo ndiyo hivyo vya ukuu wa mikoa na wilaya. Tusubiri!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ninacho fikiri mimi Mheshiwa Kikwete anajipanga kwa ajili ya uchaguzi wa 2015,kwani katika CCM ndani kwa ndani kuna makundi yanayotaka madaraka kuliko hata wapinzani na wana nguvu kubwa. Hivyo anajaribu kupanga kikosi kazi ambacho kitamsaidia kumweka madarakani mtu atakaye mtaka yeye,Ikumbukwe kua toka kuvunjwa kwa baraza la mawaziri kipindi cha Richmond hajafanya uteuzi wa Ma Rc na ma Dc,waliopo sasa hivi ni wale waliowekwa na Mheshiwa waziri mkuu mstaafu,na hiyo safu aliyokua ameiweka aliipanga makusudi ije imsaidia kuingia Ikulu 2015 baada ya Swaiba kumaliza muda wake.


Correct!
 
tulikuwa hapa st gaspel kwenye semina elekezi mmoja wa wasaidiizi wake akajisahau akaropoka.!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom