Siyo lazima achague wakuu wa Wilaya wapya kama waliopo wanafaa......
Kwani Katiba imesema hivyo kwamba kila baada ya uchaguzi uteuzi wa wakuu wa wilaya na mikoa unabidi ufanyike?
Viroba mchezo!!!!Wewe nae jaribu kuelewa muanzisha thread anamaanisha nini... sio kurukia tu... Jamaa anazungumzia mikoa mipya kama Katavi,Geita na Njombe (na wilaya zake) bila kusahau Dar Es Salaam.
Sasa wewe unakua kama unakimbizwa.
Wewe nae jaribu kuelewa muanzisha thread anamaanisha nini... sio kurukia tu... Jamaa anazungumzia mikoa mipya kama Katavi,Geita na Njombe (na wilaya zake) bila kusahau Dar Es Salaam.
Sasa wewe unakua kama unakimbizwa.
Wewe nae jaribu kuelewa muanzisha thread anamaanisha nini... sio kurukia tu... Jamaa anazungumzia mikoa mipya kama Katavi,Geita na Njombe (na wilaya zake) bila kusahau Dar Es Salaam.
Sasa wewe unakua kama unakimbizwa.
Hii list iliopo ina tatizo gani
habari nlizozipata jamaa kamaliza kuandaa orodha yake tayari kwa kusomwa hadharani
my president is a big joke