Elections 2010 JK Kuongoza Mashambulizi: Kumg'oa Ndesa, Kumgalagaza Mbowe na kugomboa Karatu!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,463
113,533
Wanabodi

Nilipata ka vakasheni kafupi, hivyo nikaamua kwenda kujipumzisha mikoa ya Moshi na Arusha
juzi na jana.

Baada ya mapumziko mafupi ya juzi yalitosha na jana nikaitumia kusafisha macho kwenye harakati za kisiasa mjini Moshi na Arusha.

Habari kubwa niliyokumbana nayo ni kuwa CCM ina hali mbaya sana Jimbo la Moshi Mjini ambako Mzee Philemon Ndesamburo wa Chadema, bado anakubalika sana. Pia CCM iko kwenye hati hati za kulipoteza jimbo la Hai, ambapo Freeman Mbowe anakubalika sana, na kwa upande wa Arusha, Jimbo la Karatu ndilo jimbo pekee linayoinyima usingizi CCM ili kuligomboa jimbo hilo ambalo ndilo roho ya Dr.Slaa.

Ili kujizatiti kwa mpambano huo, inasemekana CCM imemuomba Mwenyekiti wake na mgombea wa urais, kupiga kambi mikoa hiyo, kufanya kampeni ya nguvu ili kupata ushindi.
Japo JK alishafanya kampeni yake huko, sasa atarejea tena wiki ijayo kwa kampeni ya funga kazi, kabla ya kurejea jijini Dar kukamilisha kampeni hizi siku ya Jumamosi 30 Octoba katika viwanja vya Jangwani.

Kwa maoni yangu, JK atajiaibisha bure tuu kutaka kuking'oa kisiki cha mpingo kwa kutumia panga butu!. Kisiki cha mpingo hakikatika hata kwa shoka, bali huchimbwa kukizunguka mpaka kuufikia mzizi mkuu wa katikati ambao hukatwa kwa shoka kali, ndipo hung'ooka!.

Mgombea wa CCM kwa Moshi mjini, Salakana, anmaendelea kwa kampeni ya nyumba kwa nyumba nyakati za asubuhi na jioni kwenye mikutano ya hadhara. Jana alikuwa mitaa ya Bondeni na kila alipopita alishangiliwa na kuahidiwa kura zote ni kwake, japo sina uhakika kama ahadi hizi ni kiini macho kwa kumuonea aibu akiwa mtaani kwao, au ndio kitakachofanyika Octoba 31.

Kwa Upande wa Arusha, jana nimehudhuria kampeni za Mgombea wa Chadema, Godbless Lema pale Levolosi Desemba na kumalizia kampeni za Mgombea wa CCM, Dr. Batilda Burian Pale Kaloleni, kwa mikutano ya jana, ni CCM ilifunika, sijui kwa ile iliyotangulia maana sikuwepo!.

Kwa nini CCM haina wasiwasi na jimbo la Vunjo?. Nadhani ni kwasababu Chadema, NCCR na TLP wanaparurana katika vita vya panzi, hivyo CCM imepozi pembeni kama Kunguru kusubiri kulitaka kiulani!.
 
Wanabodi

Nilipata ka vakasheni kafupi, hivyo nikaamua kwenda kujipumzisha mikoa ya Moshi na Arusha
juzi na jana.

Baada ya mapumziko mafupi ya juzi yalitosha na jana nikaitumia kusafisha macho kwenye harakati za kisiasa mjini Moshi na Arusha.

Habari kubwa niliyokumbana nayo ni kuwa CCM ina hali mbaya sana Jimbo la Moshi Mjini ambako Mzee Philemon Ndesamburo wa Chadema, bado anakubalika sana. Pia CCM iko kwenye hati hati za kulipoteza jimbo la Hai, ambapo Freeman Mbowe anakubalika sana, na kwa upande wa Arusha, Jimbo la Karatu ndilo jimbo pekee linayoinyima usingizi CCM ili kuligomboa jimbo hilo ambalo ndilo roho ya Dr.Slaa.

Ili kujizatiti kwa mpambano huo, inasemekana CCM imemuomba Mwenyekiti wake na mgombea wa urais, kupiga kambi mikoa hiyo, kufanya kampeni ya nguvu ili kupata ushindi.
Japo JK alishafanya kampeni yake huko, sasa atarejea tena wiki ijayo kwa kampeni ya funga kazi, kabla ya kurejea jijini Dar kukamilisha kampeni hizi siku ya Jumamosi 30 Octoba katika viwanja vya Jangwani.

Kwa maoni yangu, JK atajiaibisha bure tuu kutaka kuking'oa kisiki cha mpingo kwa kutumia panga butu!. Kisiki cha mpingo hakikatika hata kwa shoka, bali huchimbwa kukizunguka mpaka kuufikia mzizi mkuu wa katikati ambao hukatwa kwa shoka kali, ndipo hung'ooka!.

Mgombea wa CCM kwa Moshi mjini, Salakana, anmaendelea kwa kampeni ya nyumba kwa nyumba nyakati za asubuhi na jioni kwenye mikutano ya hadhara. Jana alikuwa mitaa ya Bondeni na kila alipopita alishangiliwa na kuahidiwa kura zote ni kwake, japo sina uhakika kama ahadi hizi ni kiini macho kwa kumuonea aibu akiwa mtaani kwao, au ndio kitakachofanyika Octoba 31.

Kwa Upande wa Arusha, jana nimehudhuria kampeni za Mgombea wa Chadema, Godbless Lema pale Levolosi Desemba na kumalizia kampeni za Mgombea wa CCM, Dr. Batilda Burian Pale Kaloleni, kwa mikutano ya jana, ni CCM ilifunika, sijui kwa ile iliyotangulia maana sikuwepo!.

Kwa nini CCM haina wasiwasi na jimbo la Vunjo?. Nadhani ni kwasababu Chadema, NCCR na TLP wanaparurana katika vita vya panzi, hivyo CCM imepozi pembeni kama Kunguru kusubiri kulitaka kiulani!.
arusha mjini mkuu. Batilda anahemea mashine.
 
Ccm iko hoi mikoa yote tanzania bara na pemba. Asidanganyike kuwa moshi au arusha pekee. Taaaaabani kabisa ccm.
 
Habari kubwa niliyokumbana nayo ni kuwa CCM ina hali mbaya sana Jimbo la Moshi Mjini ambako Mzee Philemon Ndesamburo wa Chadema, bado anakubalika sana. Pia CCM iko kwenye hati hati za kulipoteza jimbo la Hai, ambapo Freeman Mbowe anakubalika sana, na kwa upande wa Arusha, Jimbo la Karatu ndilo jimbo pekee linayoinyima usingizi CCM ili kuligomboa jimbo hilo ambalo ndilo roho ya Dr.Slaa.

Endeleeni kujidanganya.............Kama unajua upepo wa kisiasa unavumaje ungelijua hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anamsikiliza tena JK baada ya kushindwa vita dhidi ya ufisadi.........Yaani sasa hivi kukipigia debe CCM jamii yakuona kama mwenda wazimu vile au zimefyatuka na jamii itadadisi hivi wanufaikaje na huu ufisadi...........Dr. Batilda hapa Arusha hawezi kufua dafu kwa Lema...hilo lielewe na hao wachache wanaokwenda kwa Batilda wanafuata burudani tu lakini hawatampigia kura hilo liweke machoni kwako.........
 
Endeleeni kujidanganya.............Kama unajua upepo wa kisiasa unavumaje ungelijua hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anamsikiliza tena JK baada ya kushindwa vita dhidi ya ufisadi.........Yaani sasa hivi kukipigia debe CCM jamii yakuona kama mwenda wazimu vile au zimefyatuka na jamii itadadisi hivi wanufaikaje na huu ufisadi...........Dr. Batilda hapa Arusha hawezi kufua dafu kwa Lema...hilo lielewe na hao wachache wanaokwenda kwa Batilda wanafuata burudani tu lakini hawatampigia kura hilo liweke machoni kwako.........

Kikwete anadhaurika sana si na wanaCCM peke yako bali na watanzania wote wenye nia njema! Si turufu tena huyo ndo maana anaweka nguvu kubwa kutegemea familia yake zaidi
 
Lakini si kila uchaguzi CCM husema hivyo hivyo tu? -- "nguvu zote kukomboa majimbo ambayo bado yanakaliwa na upinzani -- lakini hujikuta wanashindwa." Jee safari hii wataweza pamoja na kuwepo kwa tsunami ya Dr Slaa?
 
Wanabodi

Nilipata ka vakasheni kafupi, hivyo nikaamua kwenda kujipumzisha mikoa ya Moshi na Arusha
juzi na jana.

Baada ya mapumziko mafupi ya juzi yalitosha na jana nikaitumia kusafisha macho kwenye harakati za kisiasa mjini Moshi na Arusha.

Habari kubwa niliyokumbana nayo ni kuwa CCM ina hali mbaya sana Jimbo la Moshi Mjini ambako Mzee Philemon Ndesamburo wa Chadema, bado anakubalika sana. Pia CCM iko kwenye hati hati za kulipoteza jimbo la Hai, ambapo Freeman Mbowe anakubalika sana, na kwa upande wa Arusha, Jimbo la Karatu ndilo jimbo pekee linayoinyima usingizi CCM ili kuligomboa jimbo hilo ambalo ndilo roho ya Dr.Slaa.

Ili kujizatiti kwa mpambano huo, inasemekana CCM imemuomba Mwenyekiti wake na mgombea wa urais, kupiga kambi mikoa hiyo, kufanya kampeni ya nguvu ili kupata ushindi.
Japo JK alishafanya kampeni yake huko, sasa atarejea tena wiki ijayo kwa kampeni ya funga kazi, kabla ya kurejea jijini Dar kukamilisha kampeni hizi siku ya Jumamosi 30 Octoba katika viwanja vya Jangwani.

Kwa maoni yangu, JK atajiaibisha bure tuu kutaka kuking'oa kisiki cha mpingo kwa kutumia panga butu!. Kisiki cha mpingo hakikatika hata kwa shoka, bali huchimbwa kukizunguka mpaka kuufikia mzizi mkuu wa katikati ambao hukatwa kwa shoka kali, ndipo hung'ooka!.

Mgombea wa CCM kwa Moshi mjini, Salakana, anmaendelea kwa kampeni ya nyumba kwa nyumba nyakati za asubuhi na jioni kwenye mikutano ya hadhara. Jana alikuwa mitaa ya Bondeni na kila alipopita alishangiliwa na kuahidiwa kura zote ni kwake, japo sina uhakika kama ahadi hizi ni kiini macho kwa kumuonea aibu akiwa mtaani kwao, au ndio kitakachofanyika Octoba 31.

Kwa Upande wa Arusha, jana nimehudhuria kampeni za Mgombea wa Chadema, Godbless Lema pale Levolosi Desemba na kumalizia kampeni za Mgombea wa CCM, Dr. Batilda Burian Pale Kaloleni, kwa mikutano ya jana, ni CCM ilifunika, sijui kwa ile iliyotangulia maana sikuwepo!.

Kwa nini CCM haina wasiwasi na jimbo la Vunjo?. Nadhani ni kwasababu Chadema, NCCR na TLP wanaparurana katika vita vya panzi, hivyo CCM imepozi pembeni kama Kunguru kusubiri kulitaka kiulani!.

Heshima kwako Pasco,

Mkuu ni kweli Mama Dr Batilda anakuja juu sana kipindi hiki cha lala salama ingawa wapo watu wengi hawataki kukubaliana na hali ya mambo.Zipo habari makundi ndani ya CCM hasa Mhe Felex Mrema ameamua kurudi kundini baada ya kuahidiwa nafasi serekali ijayo.Mkuu mkutano wa Mama ulikuwa maeneo ya Stadium kama ulikuwepo nadhani uliona magari mawili [Malori]makubwa ya matangazo moja linamilikiwa na Tripple A na lingine CCM makao makuu.Vikundi vya sanaa na maigizo vilikuwa na watu wasiopunguwa arobaini pia wahudhuriaji wengi si wapiga kura wa kata ya Kaloleni nasema hivyo kwasababu nawajua wengi wametoka kata ya Kati ambayo ni ngome kuu ya CCM [NB kata ya Kati inawapiga kura 3,000 na kelele nyingi sana].

Mama Batilda anatumia mbinu alizokuwa akitumia Lema kusomba watu wake kutoka kata mbali mbali kila anapofanya mkutano naona inaweza kumsaidia bila kufanya hivyo mkutano wake wa jana usingekuwa na nyomi ya kutosha.Lema alikuwa akitumia mbinu hii tangu mwanzo wa kampeni kila mkutano wake lazima Noah nne zilizosheheni watu zimemo kwenye msafara wake.
 
Hata apige kambi yeye na familia yake huko,hawezi kuivunja ngome imara ya CHADEMA!
 

Heshima kwako Pasco,

Mkuu ni kweli Mama Dr Batilda anakuja juu sana kipindi hiki cha lala salama ingawa wapo watu wengi hawataki kukubaliana na hali ya mambo.Zipo habari makundi ndani ya CCM hasa Mhe Felex Mrema ameamua kurudi kundini baada ya kuahidiwa nafasi serekali ijayo.Mkuu mkutano wa Mama ulikuwa maeneo ya Stadium kama ulikuwepo nadhani uliona magari mawili [Malori]makubwa ya matangazo moja linamilikiwa na Tripple A na lingine CCM makao makuu.Vikundi vya sanaa na maigizo vilikuwa na watu wasiopunguwa arobaini pia wahudhuriaji wengi si wapiga kura wa kata ya Kaloleni nasema hivyo kwasababu nawajua wengi wametoka kata ya Kati ambayo ni ngome kuu ya CCM [NB kata ya Kati inawapiga kura 3,000 na kelele nyingi sana].

Mama Batilda anatumia mbinu alizokuwa akitumia Lema kusomba watu wake kutoka kata mbali mbali kila anapofanya mkutano naona inaweza kumsaidia bila kufanya hivyo mkutano wake wa jana usingekuwa na nyomi ya kutosha.Lema alikuwa akitumia mbinu hii tangu mwanzo wa kampeni kila mkutano wake lazima Noah nne zilizosheheni watu zimemo kwenye msafara wake.

Ngongo! sometimes unazungumza as if huko Arusha unaishi peke yako!
 

Heshima kwako Pasco,

Mkuu ni kweli Mama Dr Batilda anakuja juu sana kipindi hiki cha lala salama ingawa wapo watu wengi hawataki kukubaliana na hali ya mambo.Zipo habari makundi ndani ya CCM hasa Mhe Felex Mrema ameamua kurudi kundini baada ya kuahidiwa nafasi serekali ijayo.Mkuu mkutano wa Mama ulikuwa maeneo ya Stadium kama ulikuwepo nadhani uliona magari mawili [Malori]makubwa ya matangazo moja linamilikiwa na Tripple A na lingine CCM makao makuu.Vikundi vya sanaa na maigizo vilikuwa na watu wasiopunguwa arobaini pia wahudhuriaji wengi si wapiga kura wa kata ya Kaloleni nasema hivyo kwasababu nawajua wengi wametoka kata ya Kati ambayo ni ngome kuu ya CCM [NB kata ya Kati inawapiga kura 3,000 na kelele nyingi sana].

Mama Batilda anatumia mbinu alizokuwa akitumia Lema kusomba watu wake kutoka kata mbali mbali kila anapofanya mkutano naona inaweza kumsaidia bila kufanya hivyo mkutano wake wa jana usingekuwa na nyomi ya kutosha.Lema alikuwa akitumia mbinu hii tangu mwanzo wa kampeni kila mkutano wake lazima Noah nne zilizosheheni watu zimemo kwenye msafara wake.

Mkuu za huko AR! hapo kwenye red kaka vipi? Kati ya chama kile kinachobeba watu na malori na huyu anayetumia Noah ni nani zaidi. RIP wale wa kule Zanzibar
 
Ngongo! sometimes unazungumza as if huko Arusha unaishi peke yako!

Heshima kwako Nyambala,

Najua kilichokukera ni hizo Noah kama utabisha muulize Pasco jana alipita Levolosi tukate mzizi wa fitina.Mkuu Nyambala hizo ni mbinu za kampeni ambazo zimemsaidia sana Lema hazikatazwi labda kama unamtazamo mwingine.Hivi umewahi kuwaona wale wacheza kamari karata tatu mbinu wanazotumia ni hizi hizi.
 
Mkuu za huko AR! hapo kwenye red kaka vipi? Kati ya chama kile kinachobeba watu na malori na huyu anayetumia Noah ni nani zaidi. RIP wale wa kule Zanzibar

Heshima kwako Eeka Mangi,

Mkuu CCM ni mabingwa wa kusomba watu hilo halina ubishi,tumeshawahi kulijadili hapa mara kibao lakini inashangaza kama si kustua mbinu hii ikitumiwa na wapinzani tunakuwa wagumu kukubali.Labda utakuwa hujui mazingira ya mji wa Arusha kuna kata kubwa kama Terati nadhani ukubwa wake ni sawa na Pemba inawapiga kura wachache sana sina uhakika sana hawazidi 2000 ukienda huko bila kampani ya watu wako unaweza kukosa watu wa kuwahutubia watu wa huko wako mbali mbali sana ni eneo ambalo halina msongamano wa watu kama Ungalimited.
 
Wiki iliyopita nilihudhuria baadhi ya mikutano ya hadhara kwenye Majimbo ya Hai, Moshi Vijijini na Vunjo. Nilihudhuria mikutano ya ccm na ya chadema. Kwa mfano Hai nilikwenda Kata ya Masama, Modio kwa Kimbita wa ccm, na baadaye Kware kwa Mbowe wa chadema, Moshi V, nilikwenda Kijiji cha Uri kata ya Kibosho Kati kwa Dr Chami wa ccm, na Kimochi kata ya Vunjo mashariki kwa Komu wa chadema. Katika jimbo la Vunjo, nilihudhuriri mkutano wa Mrema wa chadema Mamba Kotela, na wa Meela wa CCM Kilema pofo.
My take:
Watu wengi wanaohudhuria mikutano ya ccm ama wamekata tamaa kimaisha, au wanamahangaiko ya maisha hivyo kupata mahali pa kutulizia mawazo kwani kuna mbwembwe za vikundi vya waahamisishaji tena vya kukodiwa na hasa kama ni wanawake basi wana frustrations kwenye ndoa zao. Kwa wanaume hali kadhalika wao wanachukulia kama ajira hivyo kutangatanga kutoka mkutano huu kwenda mwingine.
Kwa upande wa chadema, wengi wanaohudhuria ni watu wanaopenda kusikia, kupima na hata kuamua. Ni mara chache sana kumkuta mtu anahudhuria mikutano mingi kwani tayari anakuwa ameshapata ujumbe mzito unaotosha kufanya maamuzi tarehe 31. Kila mkutano na watu wapya hivyo kufanya sera ziwafikiewatu wengi zaidi na si wale wale kwa kila mkutano.
 

Heshima kwako Pasco,

Mkuu ni kweli Mama Dr Batilda anakuja juu sana kipindi hiki cha lala salama ingawa wapo watu wengi hawataki kukubaliana na hali ya mambo.Zipo habari makundi ndani ya CCM hasa Mhe Felex Mrema ameamua kurudi kundini baada ya kuahidiwa nafasi serekali ijayo.Mkuu mkutano wa Mama ulikuwa maeneo ya Stadium kama ulikuwepo nadhani uliona magari mawili [Malori]makubwa ya matangazo moja linamilikiwa na Tripple A na lingine CCM makao makuu.Vikundi vya sanaa na maigizo vilikuwa na watu wasiopunguwa arobaini pia wahudhuriaji wengi si wapiga kura wa kata ya Kaloleni nasema hivyo kwasababu nawajua wengi wametoka kata ya Kati ambayo ni ngome kuu ya CCM [NB kata ya Kati inawapiga kura 3,000 na kelele nyingi sana].

Mama Batilda anatumia mbinu alizokuwa akitumia Lema kusomba watu wake kutoka kata mbali mbali kila anapofanya mkutano naona inaweza kumsaidia bila kufanya hivyo mkutano wake wa jana usingekuwa na nyomi ya kutosha.Lema alikuwa akitumia mbinu hii tangu mwanzo wa kampeni kila mkutano wake lazima Noah nne zilizosheheni watu zimemo kwenye msafara wake.

Noah inasheheni watu wangapi?
 
Kikwete anadhaurika sana si na wanaCCM peke yako bali na watanzania wote wenye nia njema! Si turufu tena huyo ndo maana anaweka nguvu kubwa kutegemea familia yake zaidi

Hata kama watafanikisha mradi wao wa kuiba kura na kuapishana upesi upesi kama alivyofanya Kibaki, wajue tu huyu bwana ataendelea kudharauliwa na Wananchi walio wengi na utawala wake utakuwa taabu tupu!!
 
Mikoa kama kilimanjaro watu wameamka.Nadhani wangejikita hapa bagamoyo na morogoro.
 
Hivi huyu mgonjwa bado anajidanganya kuwa yeye ni mtaji wa CCM? Poleni mnaondelea kusikiliza porojo na mipasho ya mgonjwa wa taifa.
 
Noah inasheheni watu wangapi?

Noah moja inachukua watu kumi comfortable mara nne arobaini,Ipo Toyota Landcruiser hardtop na saloon car tano ile ya mtoto wa Photo me T 537 ADJ haikosekani hata mara moja jana kidogo ilileta tafrani kwenye mkutano wa batilda.
 
Back
Top Bottom