JK kumweka Malecela Waziri Mkuu?

NYWEPWESWI nyingine. Hapa sio sehemu ya kunukuu habari za magazeti ya UWAZI, SANI, RISASI, nk.

Mie sio mshabiki wake.

Simo.
 
Habarini waungwana . Habari toka kila kona ya Nchi na Jiji zimezidi kuvuma na kuvumika kwamba JK anakaribia kuvunja ufalme wake na aweke wapya ili kukinusuru Chama chake cha CCM.Kumekuwa na kashfa nyingi sana na za wazi kabisa na inasemekana anadhani kwamba ana watu wasio faa. watu hao mmoja wapo ni ndugu Lowasa na wengine ambao wewe unaweza kuwahisi.

Kubwa kuliko lote ni kwamba John Malecela ana angaliwa kwa jicho la huruma kama anavyopenda kusema mkubwa mmoja .Hivyo baada ya kusikia hili toka kwa walio karibu na mkuu huyu nimeingiwa na kiwewe maana kama ni kweli Malecela anarudia Ukuu ule maneno yake ya miaka ile yanaweza kujirudia na hapo Tanzania itakuwa inaisha kabisa. Je kuna unalo lijua juu ya tetetete hizi za mtaani lakini pia wana mtandao wanasema ?
Another spinning! Shida inakuja pale Mh. Lunyungu anapotakiwa kuthibitisha.
 
hoja ya malecela kuwa PM ni hoja dhaifu mno.
walio karibu na mchambuzi (EL) wamjuze aje ukumbini kutupa machache kuhusu huyu mchmbuliwaji.

mzee Bill napiga kazi na sala maana nchi hii ndo ishapata warithi wanaojipa utukufu wa turufu....
 
Ukitaka kufanya mabadiliko kwa maana ya kuleta maendeleo,katika nyanja zote,(yaani katika siasa na uchumi) anza na yule unayemwona kwenye kioo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom