Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
NYWEPWESWI nyingine. Hapa sio sehemu ya kunukuu habari za magazeti ya UWAZI, SANI, RISASI, nk.
Mie sio mshabiki wake.
Simo.
Mie sio mshabiki wake.
Simo.
Another spinning! Shida inakuja pale Mh. Lunyungu anapotakiwa kuthibitisha.Habarini waungwana . Habari toka kila kona ya Nchi na Jiji zimezidi kuvuma na kuvumika kwamba JK anakaribia kuvunja ufalme wake na aweke wapya ili kukinusuru Chama chake cha CCM.Kumekuwa na kashfa nyingi sana na za wazi kabisa na inasemekana anadhani kwamba ana watu wasio faa. watu hao mmoja wapo ni ndugu Lowasa na wengine ambao wewe unaweza kuwahisi.
Kubwa kuliko lote ni kwamba John Malecela ana angaliwa kwa jicho la huruma kama anavyopenda kusema mkubwa mmoja .Hivyo baada ya kusikia hili toka kwa walio karibu na mkuu huyu nimeingiwa na kiwewe maana kama ni kweli Malecela anarudia Ukuu ule maneno yake ya miaka ile yanaweza kujirudia na hapo Tanzania itakuwa inaisha kabisa. Je kuna unalo lijua juu ya tetetete hizi za mtaani lakini pia wana mtandao wanasema ?