Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
mungu niongeze siku nishuhudie ya tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zangu tusiangaike na issues ndogo kama za Jairo na Luhanjo jambo muhimu wakati huu ni mchakato wa kuandika katiba mpya. Hii mambo ya Jairo ni ndogo sana,kwanza Pinda na Jk wangekua makini wangekwisha maliza hii maneno ya Jairo siku nyingi. Nchi yetu ni ya ajabu sana,bunge linashupalia issue ndogo kama ya Jairo wanashindwa kushupalia jambo nyeti kama mchakato wa katiba mpya ambao kama tunapata katiba nzuri kesi za akina Jairo tutazipunguza sana.
Raisi JK ameingia Dodoma kwa ndege asubuhi ya leo. Kwa muda huu inasemekana yupo ktk kikao na wabunge wote wa CCM ktk ukumbi wa Pius Msekwa.
Moja ya ajenda ya kikao hicho ni kushinikiza wabunge wote wa CCM wawe kitu kimoja hapo kesho ktk kuchangia ripoti ya tume iliyochunguza sakata la Jairo. Riport ya Jairo inategemewa kujadiliwa kesho Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu.
Mkuu Manyanyaso, tafadhali nakuomba umpe heshima kuu Raisi wetu. Usiandike Raisi JK.
Tafadhali anza sentensi kwa kuandika: Raisi Dr Dr Dr Dr JK. ?Tunza heshima ya mkuu wa Tanzania.
acha hizo tuache kushughulikia wapuuz kama hao eti kisa katiba .vyote hivi vinaenda kwa wakati mmoja uzembe wanaoufanya una madhara makubwa sanaNdugu zangu tusiangaike na issues ndogo kama za Jairo na Luhanjo jambo muhimu wakati huu ni mchakato wa kuandika katiba mpya. Hii mambo ya Jairo ni ndogo sana,kwanza Pinda na Jk wangekua makini wangekwisha maliza hii maneno ya Jairo siku nyingi. Nchi yetu ni ya ajabu sana,bunge linashupalia issue ndogo kama ya Jairo wanashindwa kushupalia jambo nyeti kama mchakato wa katiba mpya ambao kama tunapata katiba nzuri kesi za akina Jairo tutazipunguza sana.