Hata Shetani aliwahi kumjaribu Yesu, eti kama kweli wewe ni mwana wa Mungu jirushe toka mlimani na malaika wa Mungu watakudaka na kukupoke.
Kwa hilo....humpati mtu labda hao wana mipasho wenzio. Jaribu jengine
Kiukweli hakutakiwa kumteuwa kuwa mkuu wa Wilaya wala Mkoa kwa sababu wanachi walimwamini wakampa ubunge, raisi akamwamini pia akampa uwaziri lakini hakuonyesha juhudi ya utendaji kazi na wananchi wakakosa imani nae tena kwa nguvu ya pamoja wakambwaga sasa huyo huyo ambae wananchi hawana imani nae tena anateuliwa awatumikie wananchi unategemea nini hapo.
tuikumbuke na skendo yake ya vitambulisho vya uraia,
Kiukweli hatumtaki kabisa kwani yupo peke yake TZ hii
Ukisikia neno mnafiki wa serikali basi ujue katika list na wewe umo, wewe hujatumwa na mtu ila shetani ndio anakuongoza kwahiyo unajihisi uko sawa kumbe una tatizo. kama wewe sio mnafiki taja ulivopost hii ulikuwa unataka nini kwa wana Jf? Je kama ungekuta wewe ndio umelistiwa kwenda kuwa mkuu wa simiyu ungeandika? Acha habari za unafiki. Usipokuwa makini na kalamu/vidole utajifikisha pabaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.