Kama rais atawateua watu waliokataliwa na wananchi (yaani walishindwa kwa kura) hiyo itakuwa ni dhalau kubwa kwa Watanzania na hata wana CCM wenyewe. Kama anajua alifanyalo hawezi kuwateua ktk viti 10 wale walioshindwa.
Kuna kila dalili Masha, Dr Kamala, Marmo, Batilda wakarudishwa kwa kupitia viti 10 vya kuteuliwa na RAIS
Kuna kila dalili Masha, Dr Kamala, Marmo, Batilda wakarudishwa kwa kupitia viti 10 vya kuteuliwa na RAIS
Kuna kila dalili Masha, Dr Kamala, Marmo, Batilda wakarudishwa kwa kupitia viti 10 vya kuteuliwa na RAIS
Alafu haya mambo ya raisi kuteua washikaji wake kuna haja ya kulifutilia mbali seriously
Katika hali ya kuonyesha kukubali matokeo na kujipa moyo mh mstaafu amedai tena kwa nyodo kuwa hata kama wana mwanza wamemtosa lakini mkubwa atamkumbuka tu kwakuwa hawakukutana barabarani.
Wanabadiliko Tumpe Pole Huyu Jamaa kuz Anapumulia mashine.
Kuna habari nimeipata kutoka kwa mzee mmoja CCM damu damu na anajua haya mambo vizuri, anasema sheria hairuhusu kumweka mtu aliyeshindwa kwenye jimbo viti Maalumu, halafu Batilda hawezi kuchaguliwa tena coz ameshakaa bungeni miaka kumi na ndo maana alirudi jimboni. Labda apate RC au UBALOZI.
Arudi kibaruani kwake akatakase mafisadi na mwaka huu kesi nyingi sana ya kwake , batilda, mramba nkManeno ya mkosaji yale. Akafie mbele huko.
Akiwateua hao kwa nafasi yoyote ile atakuwa kawadharau watanzania sana.Wewe nawe kwani Mkwere ana akili ya kufikiria hayo? Ya kuwadharau wa-TZ unayajua wewe tu ni mangapi kayafanya ya kuwadhalilisha wa-TZ? Hata hivyo mbona viti 10 ni vichache na waliobwagwa ni wengi? Hapo mweke Makamba, Marmo, Batlida, Masha, Dialo, Mramba, Abdul-Aziz, Kamala, Chegeni, Ridhi 1, Salum Khamis Mbuzi, Luka Siame, Dan Nsanzugwanko, Hawa Ng'humbi, Ben Mpesya, Monica, Erick, Fredrick n.k Mwaka huu tutastajaab ya Musa!!
Kuna habari nimeipata kutoka kwa mzee mmoja CCM damu damu na anajua haya mambo vizuri, anasema sheria hairuhusu kumweka mtu aliyeshindwa kwenye jimbo viti Maalumu, halafu Batilda hawezi kuchaguliwa tena coz ameshakaa bungeni miaka kumi na ndo maana alirudi jimboni. Labda apate RC au UBALOZI.